Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
DC, wazazi kama hawa na akiwa na lengo kama hili hawezi kusubiri mpaka mtoto afikishe miaka 18, anaanza kumuweka karibu sana tangu akiwa mdogo... then anaamza kumfanyia hivyo vitendo kidogo kidogo at tender age, mtoto anaweza akadhani ni kitu cha kawaida na ma-zawadi na mapenzi yale anayoonyeshwa, akiambiwa usimwambie Mama naye anakaa kimya... kwa hiyo anavyozidi kukua na mzee anazidi kujivinjari... kwa sababu fikiria at 18yrs halafu baba aanze tu from nowhere kumweleza mambo kama hayo, lazima atashtuka...
kweli askofu wa kulaumiwa zaidi ni baba, mtoto akikua na kujua yale si sahihi inakuja kua too late kwani nae amesharidhika na vile anavyofayiwa na baba