Hiki ndicho alichosema Dr. Lwaitama

TIBANYENDERA

Member
Feb 16, 2011
20
0
DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
  1. CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni ya kikatiba na vilevile ipo chini ya Sheria Ya Vyama vya Siasa.
  2. Na CCM kama inahitaji ifanye hivyo, isikalie kulalama tu
  3. Mambo yanayoongelewa na CDM ni halali kwa sababu kazi ya chama cha siasa ni kuangalia mambo ambayo yanayoumiza wananchi
  4. Hakuna machafuko yoyote kwa sababu, CDM walipoenda Mwanza walifanya mikutano baada ya pale wananchi wapo wanendelea na shughuli zao kama kawaida, vivyo hivo Shinyanga, Kagera na Musoma
  5. Maandamano yote yalipata baraka zajeshi lapolisi lakini pia walipewa ulinzi wa polisi sehemu zote
  6. Hakuna anayewalazimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya CDM bali wananchi wanavutwa na kukunwa na sera za CDM, Hivyo CCM isiwasemee wananchi
  7. Wanaotaka kuvuruga hii nchi ni CCM kwasababu ya kuendeka swala la Amani ambayo mda wote imekuwepo
  8. Maneno ya Chiligati, RAIS, waandishi wa habari ni kutaka kukisaidia chama cha mapinduzi ili kuweka taswira kwa wananchi kuwa CDM ni mbaya inaleta vurugu, hivyo kuwafanya jeshi la polisi wasiruhusu maandamno ya CHADEMA kanda za juu kusini
  9. Hakuna aliye na lengo la kupindua serikali, bali Serikali legelege huondolewa kwa maandamano madogo kwa sababu serikali ya namna hii huogopa kila kitu ni hutaka kudhibiti maandamano, likitokea hili serikali husababisha vurugu na hivyo kusasbabisha vita
  10. Aliwambia kuwa kama wanaona Mbowe na Slaa ndo wanasababisha vurugu ambayo haipo basi wawakamate na kuwatia ndani ili waone kama amani itakuwepo.
Haya ndiyo yaliyosemwa na Dr huyo, wewe una maoni gani?
 
Mfa maji haishi kutapatapa wananchi ndo tunazidi kuipenda chedema tumaini jipya la maisha kwa watz
 
Naunga mkono hoja. Down with CCM propaganda, Long live Chadema na wapenda mabadiliko chanya wote
 
Tatizo la CCM ni kutokuukubali ukweli. Chama kimezingirwa na mabedui kiasi kwamba viongozi wanaona heri chama kife kuliko kuwang'oa hao wanyang'anyi. Na kwa msingi huo hata kusimamia ustawi wa wananchi imekuwa kama vile si jukumu la serikali kwa sasa. Daima uongo hujitenga na ukweli, shida za wananchi ndio zinazowatia mabarabarani kuandamana. Kwa shida zao wataichukia serikali yao, na kwa mahangaiko yao watakichukia chama chao. Kati ya mamia ya waandamanaji wamo wanachama wa CCM, maana hata wao wanapata shida hizohizo. Hakuna mwanadamu mwenye njaa anayeweza kutii mamlaka asiyoikubali.
 
ccm wana hangaika bure; wanaona muda wao wakukaa ikulu na kula malalio yetu, umekwisha, pia mfamaji haachi kutapatapa, lazima wafe tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
  1. CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni ya kikatiba na vilevile ipo chini ya Sheria Ya Vyama vya Siasa.
  2. Na CCM kama inahitaji ifanye hivyo, isikalie kulalama tu
  3. Mambo yanayoongelewa na CDM ni halali kwa sababu kazi ya chama cha siasa ni kuangalia mambo ambayo yanayoumiza wananchi
  4. Hakuna machafuko yoyote kwa sababu, CDM walipoenda Mwanza walifanya mikutano baada ya pale wananchi wapo wanendelea na shughuli zao kama kawaida, vivyo hivo Shinyanga, Kagera na Musoma
  5. Maandamano yote yalipata baraka zajeshi lapolisi lakini pia walipewa ulinzi wa polisi sehemu zote
  6. Hakuna anayewalazimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya CDM bali wananchi wanavutwa na kukunwa na sera za CDM, Hivyo CCM isiwasemee wananchi
  7. Wanaotaka kuvuruga hii nchi ni CCM kwasababu ya kuendeka swala la Amani ambayo mda wote imekuwepo
  8. Maneno ya Chiligati, RAIS, waandishi wa habari ni kutaka kukisaidia chama cha mapinduzi ili kuweka taswira kwa wananchi kuwa CDM ni mbaya inaleta vurugu, hivyo kuwafanya jeshi la polisi wasiruhusu maandamno ya CHADEMA kanda za juu kusini
  9. Hakuna aliye na lengo la kupindua serikali, bali Serikali legelege huondolewa kwa maandamano madogo kwa sababu serikali ya namna hii huogopa kila kitu ni hutaka kudhibiti maandamano, likitokea hili serikali husababisha vurugu na hivyo kusasbabisha vita
  10. Aliwambia kuwa kama wanaona Mbowe na Slaa ndo wanasababisha vurugu ambayo haipo basi wawakamate na kuwatia ndani ili waone kama amani itakuwepo.
Haya ndiyo yaliyosemwa na Dr huyo, wewe una maoni gani?

Mkuu haya kayasema wapi? na lini? na mbele ya nani??
 
DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
  1. CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni ya kikatiba na vilevile ipo chini ya Sheria Ya Vyama vya Siasa.
  2. Na CCM kama inahitaji ifanye hivyo, isikalie kulalama tu
  3. Mambo yanayoongelewa na CDM ni halali kwa sababu kazi ya chama cha siasa ni kuangalia mambo ambayo yanayoumiza wananchi
  4. Hakuna machafuko yoyote kwa sababu, CDM walipoenda Mwanza walifanya mikutano baada ya pale wananchi wapo wanendelea na shughuli zao kama kawaida, vivyo hivo Shinyanga, Kagera na Musoma
  5. Maandamano yote yalipata baraka zajeshi lapolisi lakini pia walipewa ulinzi wa polisi sehemu zote
  6. Hakuna anayewalazimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya CDM bali wananchi wanavutwa na kukunwa na sera za CDM, Hivyo CCM isiwasemee wananchi
  7. Wanaotaka kuvuruga hii nchi ni CCM kwasababu ya kuendeka swala la Amani ambayo mda wote imekuwepo
  8. Maneno ya Chiligati, RAIS, waandishi wa habari ni kutaka kukisaidia chama cha mapinduzi ili kuweka taswira kwa wananchi kuwa CDM ni mbaya inaleta vurugu, hivyo kuwafanya jeshi la polisi wasiruhusu maandamno ya CHADEMA kanda za juu kusini
  9. Hakuna aliye na lengo la kupindua serikali, bali Serikali legelege huondolewa kwa maandamano madogo kwa sababu serikali ya namna hii huogopa kila kitu ni hutaka kudhibiti maandamano, likitokea hili serikali husababisha vurugu na hivyo kusasbabisha vita
  10. Aliwambia kuwa kama wanaona Mbowe na Slaa ndo wanasababisha vurugu ambayo haipo basi wawakamate na kuwatia ndani ili waone kama amani itakuwepo.
Haya ndiyo yaliyosemwa na Dr huyo, wewe una maoni gani?

11. Raisi aliogea kama raisi kwa point kama nne tu za mwanzo baada ya hapo alikuwa anaongea kama mwenyekiti wa ccm!

Haya aliyasema alipoojiwa na WAPO radio!
 
CCM bana, kweli hamna mtu humo anayeweza kufikiria buyond the average level? It is a simple logic kuona kama kuna vurugu au la. i dont know kwanini wanalia lia kila mara na wao ndo wameshikilia kila kitu...
 
Mkuu haya kayasema wapi? na lini? na mbele ya nani??

Hataingekuwa Dk. Lwaitamwa asingesema haitaji Phd kujua hilo hata kijana aliyemaliza la saba anajua kuwa harakati za CDM ni za amani na nikwamstakabali wa nchi.
 
DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
  1. CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni ya kikatiba na vilevile ipo chini ya Sheria Ya Vyama vya Siasa.
  2. Na CCM kama inahitaji ifanye hivyo, isikalie kulalama tu
  3. Mambo yanayoongelewa na CDM ni halali kwa sababu kazi ya chama cha siasa ni kuangalia mambo ambayo yanayoumiza wananchi
  4. Hakuna machafuko yoyote kwa sababu, CDM walipoenda Mwanza walifanya mikutano baada ya pale wananchi wapo wanendelea na shughuli zao kama kawaida, vivyo hivo Shinyanga, Kagera na Musoma
  5. Maandamano yote yalipata baraka zajeshi lapolisi lakini pia walipewa ulinzi wa polisi sehemu zote
  6. Hakuna anayewalazimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya CDM bali wananchi wanavutwa na kukunwa na sera za CDM, Hivyo CCM isiwasemee wananchi
  7. Wanaotaka kuvuruga hii nchi ni CCM kwasababu ya kuendeka swala la Amani ambayo mda wote imekuwepo
  8. Maneno ya Chiligati, RAIS, waandishi wa habari ni kutaka kukisaidia chama cha mapinduzi ili kuweka taswira kwa wananchi kuwa CDM ni mbaya inaleta vurugu, hivyo kuwafanya jeshi la polisi wasiruhusu maandamno ya CHADEMA kanda za juu kusini
  9. Hakuna aliye na lengo la kupindua serikali, bali Serikali legelege huondolewa kwa maandamano madogo kwa sababu serikali ya namna hii huogopa kila kitu ni hutaka kudhibiti maandamano, likitokea hili serikali husababisha vurugu na hivyo kusasbabisha vita
  10. Aliwambia kuwa kama wanaona Mbowe na Slaa ndo wanasababisha vurugu ambayo haipo basi wawakamate na kuwatia ndani ili waone kama amani itakuwepo.
Haya ndiyo yaliyosemwa na Dr huyo, wewe una maoni gani?

Hakuna zaidi, hivyo hivyo neno kwa neno
 
DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
  1. CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni ya kikatiba na vilevile ipo chini ya Sheria Ya Vyama vya Siasa.
  2. Na CCM kama inahitaji ifanye hivyo, isikalie kulalama tu
  3. Mambo yanayoongelewa na CDM ni halali kwa sababu kazi ya chama cha siasa ni kuangalia mambo ambayo yanayoumiza wananchi
  4. Hakuna machafuko yoyote kwa sababu, CDM walipoenda Mwanza walifanya mikutano baada ya pale wananchi wapo wanendelea na shughuli zao kama kawaida, vivyo hivo Shinyanga, Kagera na Musoma
  5. Maandamano yote yalipata baraka zajeshi lapolisi lakini pia walipewa ulinzi wa polisi sehemu zote
  6. Hakuna anayewalazimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya CDM bali wananchi wanavutwa na kukunwa na sera za CDM, Hivyo CCM isiwasemee wananchi
  7. Wanaotaka kuvuruga hii nchi ni CCM kwasababu ya kuendeka swala la Amani ambayo mda wote imekuwepo
  8. Maneno ya Chiligati, RAIS, waandishi wa habari ni kutaka kukisaidia chama cha mapinduzi ili kuweka taswira kwa wananchi kuwa CDM ni mbaya inaleta vurugu, hivyo kuwafanya jeshi la polisi wasiruhusu maandamno ya CHADEMA kanda za juu kusini
  9. Hakuna aliye na lengo la kupindua serikali, bali Serikali legelege huondolewa kwa maandamano madogo kwa sababu serikali ya namna hii huogopa kila kitu ni hutaka kudhibiti maandamano, likitokea hili serikali husababisha vurugu na hivyo kusasbabisha vita
  10. Aliwambia kuwa kama wanaona Mbowe na Slaa ndo wanasababisha vurugu ambayo haipo basi wawakamate na kuwatia ndani ili waone kama amani itakuwepo.
Haya ndiyo yaliyosemwa na Dr huyo, wewe una maoni gani?

Tendwa ndo alitakiwa azungumze namna hii, lakini hamna kitu.:decision:
 
Naomba kuongezea hapo, alisema ni janja ya CCM kuufanya ulimwengu na Wabongo waamini kuwa CDM ni mbaya ili apate sababu ya kuwachapa risasi, na kwamba, ishu zinazoongelewa na CDM ziliibuka baada ya uchaguzi hivyo ni nonsense kusema uchaguzi umepita wakae kimya! Nilimsikiliza radio WAPO, hadi raha yaani, ningekua na robo ya ubongo wa huyu jamaa, sijui hata ingekuaje!!!
 
Kama kuna watu ambao CCM inawaogopa kwa sasa ni Dr. Slaa na Mbowe. Hawa CCM inawachukulia kama magaidi wakati wananchi wanawachukulia kama mchungaji aliyeibuka Loliondo saizi kutokana na magonjwa iliyoyaacha na kuyalea mpaka saizi!
 
Back
Top Bottom