mwl frank
R I P
- Jul 11, 2011
- 78
- 27
Nyie chukieni ila mwenzenu ndiyo napata nafuu kwa kusema ukweli
ukweli ni upi wakati huyo bf wako hajui kwamba ulisha CHAKACHUA tena kwa gharama nafuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie chukieni ila mwenzenu ndiyo napata nafuu kwa kusema ukweli
ukiwa una umri huo kivipi unitukane???
namwogopa nani JF kiasi cha kuficha in case nilifanya hayo???????
Hii imekaa kistory zaidi na kwamba sidhani kama ni kitu kilichokutokea kweli
Oh sorry mamii nilipotoka. Mh so wifiyo ni lesbian!sio shemeji yangu ni wifi yangu
sijui ni vipi lakini naona kuwa
wadada wanapokuwa wawili peke yao
kitandani wengi wao huishia kupapasana na zaidi ya hapo...
inaonekana sex kati ya wadada kwa wadada iko saana lakini
inafanywa kama sio common ki hivyo..
kweli hiyo ni dhambi kama dhambi nyingine ubaya ni vile ulifanya na mtu wa karibu,duh! Kama ni kweli pole
ila ukisema kitu kinapungua rohoni, inatisha lakini ila ndo ushafanya tena.
Sisi ni nani hata tukuhukumu?
Mungu wako anajua majuto yako nafsini mwako.
Wadada wa wapi hao?
sijui ni vipi lakini naona kuwa
wadada wanapokuwa wawili peke yao
kitandani wengi wao huishia kupapasana na zaidi ya hapo...
inaonekana sex kati ya wadada kwa wadada iko saana lakini
inafanywa kama sio common ki hivyo..
kama umesoma boarding utakuwa sio mkweli kukubali hili
ni too common kuliko unavyofikiria
kwenye mahosteli ya wadada wapo ambao wanaitana kabisa
mtu na mkewa.ingawa wote waweza kuwa na ma boyfriend pia
kweli hiyo ni dhambi kama dhambi nyingine ubaya ni vile ulifanya na mtu wa karibu,
Oh sorry mamii nilipotoka. Mh so wifiyo ni lesbian!
Bora umelisema mwaya umelitoa moyoni
Sijasoma boarding school kwa hiyo siwezi kupinga ila kama ni common hivyo kwa niñi hawaendelei kwa uwazi wakimaliza pia?
kweli boss mimi ni shaidi no moja mimi namshangaa martina sema ni vile alifanya na mtu wa karibu ndo maana inamtesakama umesoma boarding utakuwa sio mkweli kukubali hili
ni too common kuliko unavyofikiria
kwenye mahosteli ya wadada wapo ambao wanaitana kabisa
mtu na mkewa.ingawa wote waweza kuwa na ma boyfriend pia