Hiki kipindi maalum toka bungen channel ten, kimelipiwa na lowasa nn?

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.
 
Marxis believes that media is, also, a means of maintaining the status quo.Those who have access/can control media are in a good position 2 articulate for/ defend their interest!usishangae.
 
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.
Jizoeze kusikia na kuyavumilia usiyoyapenda Mkuu.
 
Kwani Channel 10 ya nani? Kawaida tu...ni kama ITV wanavyomuweka bosi wao masaa mawili anauza sura tu.
 
Mkuu nikumbushe Ezekiel Wenje na Zito kabwe nao waliunga mko hoja ya EL au? Hivi kipindi kimeanza baada ya EL Kuchangia bajeti au kilikuwepo kabla? Kisha acha propaganda ktk kazi za watu mkuu.
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.
 
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.

Mkuu kama haujui Chanel ten ipo chini ya Rostam Aziz kupitia Habari coopration ambayo mkrugenzi wake ni Bashe,mpaka hapo Lowasa hawezi kulipia ila anapiga simu tu kwa Bashe mambo yanajipa!.
 
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.

Nakuunga mkono mkuu!! hata mm nimekistukia hiki kipindi kina mkono wa EL
 
Mlioshtuka poleni sana kwa sababu hamkujua kwamba Channel 10 kama vyombo vingine vilivyo na muelekeo kama huo ni majembe ya Lowassa na mafisadi wengine na wanajisikia kwamba morally wana obligation ya kumrudishia nuru na mng'aro wake Lowassa. Lakini hii ni wasted effort maana tayari watanzania walishapitisha hukumu yao siku nyingi.
 
Back
Top Bottom