CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Nilikuwa nafuatilia kipindi maalum toka bungeni, mtangazaji anawaweka wabunge waliochangia bajeti ya w/mkuu waliokuwa wanaunga mkono kauli ya lowasa. Ameanza kwa kuisifia hotuba ya uchangiajia bungeni aliyotoa lowasa. Mtu wa kwanza kumwekwa ni lowasa, wakafuatia wabunge wengine na kila mbunge anayemweka lazima mtangazaji aseme ameunga mkono kauli ya mh. Lowasa na mtu wa mwisho wa kipindi tena akamweka tena lowasa akichangia mada bajeti ya ofisi wa w/mkuu.Mi nimeshindwa kuelewa hiki kipindi kimelipiwa na lowasa au channel ten waliipenda sana hile statement ya lowasa bungeni.