Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wadau hapa UDOM mi nashindwa kuelewa kwa nini, chuo kimefunguliwa lakini maji ni ya shida. Hivi hawa wahusika na maji hawajuwi kama chuo kimefunguliwa au mpaka vijana waanze kuimba zile nyimbo zao? Kila college in Tank kubwa la maji lakini hayafunguliwi kunani?