google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
Kwani mpaka huko bangi unanyonga mwenyewe ? Hakuna kiwandaa
Kweli mkuu!!?? ila kama umepitia skatai kwa vugezo vifuatavyo;Nashukuru Mungu nimepitia vilevi vyote hadi unga unaosemwa ni ngumu kuacha, mi nimeacha.
We we we sema su, mimi Mungu alinijalia kupata pesa mapema mno wakati sijui maisha ni nini, na ndio ktk kipindi hiko hata 20 sijafika ndipo nilipopata demu fulani wa kiarabu,huyo demu anakula vyote hivo tukishapata hivo vitu mapenzi yetu ni rafu kishenzi hakuna uchafu tusioufanya humo ndani.Kweli mkuu!!?? ila kama umepitia skatai kwa vugezo vifuatavyo;
1: Tangu umevuta bange hukuwahi kujua/kujifunza kunyonga(Ku/roll)
2; unga hukuwahi kuvuta kila siku wala kununua ila tu zaidi ya kugongea
Kwa hyo mkuu unatka kunambia uliacha bila kupitia cjua rehab wala nnWe we we sema su, mimi Mungu alinijalia kupata pesa mapema mno wakati sijui maisha ni nini, na ndio ktk kipindi hiko hata 20 sijafika ndipo nilipopata demu fulani wa kiarabu,huyo demu anakula vyote hivo tukishapata hivo vitu mapenzi yetu ni rafu kishenzi hakuna uchafu tusioufanya humo ndani.
Kuna kituko nilikifanya nikauzuria Segerea miezi 4, niliteseka sana kule selo siwezi kusahau, na nilipotoka ndio ikawa kwaheri.Kwa hyo mkuu unatka kunambia uliacha bila kupitia cjua rehab wala nn
Dooh pole sana asee sema ni mapito tu..nipo napigana vita ya kuishinda hii mnaita bhange cjui, nikisema nastop bas ntavuta sigara mpka kero yaniKuna kituko nilikifanya nikauzuria Segerea miezi 4, niliteseka sana kule selo siwezi kusahau, na nilipotoka ndio ikawa kwaheri.
Bhange sio mbaya,kama huwa hauaribu kitaa, ila kama huwa unaharibu kitaa basi na yenyewe iache, sema tatizo linalowakuta wengi ni kutaka kwenda kwenye hatua nyingine ya kutumia Madawa hapo ndipo wanapoenda kupotea.Dooh pole sana asee sema ni mapito tu..nipo napigana vita ya kuishinda hii mnaita bhange cjui, nikisema nastop bas ntavuta sigara mpka kero yani