Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Bunge la Uganda linakusudia kuwasilisha muswada wa adhabu kali hadi kifungo cha miaka 10 jela kwa watakaobainika kuvaa nguo fupi almaaruf vimini
muswaada huo utazuia pia vipindi vya televisheni venye waigizaji wenye mrengo huo sambamba na miziki mbalimali ikiwemo ya wanamuziki maarufu kama Madonna na Beyonce
hii ni kaazi kweli kweli maana wanataka kuidhibiti hadi mitandaoni,je yawezekana?
muswaada huo utazuia pia vipindi vya televisheni venye waigizaji wenye mrengo huo sambamba na miziki mbalimali ikiwemo ya wanamuziki maarufu kama Madonna na Beyonce
hii ni kaazi kweli kweli maana wanataka kuidhibiti hadi mitandaoni,je yawezekana?