Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Huyu jamaa baada ya kustaafu si alienda kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na akapigwa chini kwenye kura za maoni? Leo nimemwona kwenye gazeti linalotolewa na TANESCO la Bullet in the umeme jamaa eti anakagua miradi ya Tanesco.
Kuulizia naambiwa eti ndio mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa TANESCO. Si ikabidi niende google! niliyoyakuta ni haya;
[h=2]October 26, 2011[/h] [h=3]RAIS KIKWETE AMEMTEUA JENERALI MSTAAFU ROBERT MBOMA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA TANESCO[/h]
Kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Mashirika ya Umma Sura 257 kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 (The Public Corporations Act, Cap. 257 of R.E. 2002), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Jenerali Mstaafu Robert P. Mboma (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuanzia tarehe 27 Oktoba 2011 baada ya Bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake tarehe 26 Oktoba 2011.
Pamoja na uteuzi huo, Mheshimiwa William M. Ngeleja Waziri wa Nishati na Madini kwa Mamlaka aliyonayo amewateua wakurugenzi wanane wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania kuanzia tarehe 27 Oktoba, 2011. Walioteuliwa kuwa Wakurugenzi wa Bodi ni pamoja na:-
1. Bw. Baruany Elijah A. T. Luhanga
2. Bw. Ridhiwan Ali Masudi
3. Bw. Leonard R. Masanja
4. Bw. Vintan W. Mbiro
5. Bw. Beatus P. Segeja
6. Bw. Hassan Ally Mbaruk
7. Mhe. Victor K. Mwambalaswa (Mb.)
8. Bw. Abdul Ibrahim Kitula
Imetolewa na:
WIZARA YA NISHATI NA MADIN
WAKUU HAMNA WATU WENGINE WA KUFANYA HIZI KAZI MPAKA TUNAWURUNDIKIA HAWAHAWA? NASIKIA JK ANAOGOPA KUPINDULI WA HII NI KWELI? NAWASILISHA KWA MJADALA.
Kuulizia naambiwa eti ndio mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa TANESCO. Si ikabidi niende google! niliyoyakuta ni haya;
[h=2]October 26, 2011[/h] [h=3]RAIS KIKWETE AMEMTEUA JENERALI MSTAAFU ROBERT MBOMA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA TANESCO[/h]
Kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Mashirika ya Umma Sura 257 kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 (The Public Corporations Act, Cap. 257 of R.E. 2002), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Jenerali Mstaafu Robert P. Mboma (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuanzia tarehe 27 Oktoba 2011 baada ya Bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake tarehe 26 Oktoba 2011.
Pamoja na uteuzi huo, Mheshimiwa William M. Ngeleja Waziri wa Nishati na Madini kwa Mamlaka aliyonayo amewateua wakurugenzi wanane wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania kuanzia tarehe 27 Oktoba, 2011. Walioteuliwa kuwa Wakurugenzi wa Bodi ni pamoja na:-
1. Bw. Baruany Elijah A. T. Luhanga
2. Bw. Ridhiwan Ali Masudi
3. Bw. Leonard R. Masanja
4. Bw. Vintan W. Mbiro
5. Bw. Beatus P. Segeja
6. Bw. Hassan Ally Mbaruk
7. Mhe. Victor K. Mwambalaswa (Mb.)
8. Bw. Abdul Ibrahim Kitula
Imetolewa na:
WIZARA YA NISHATI NA MADIN
WAKUU HAMNA WATU WENGINE WA KUFANYA HIZI KAZI MPAKA TUNAWURUNDIKIA HAWAHAWA? NASIKIA JK ANAOGOPA KUPINDULI WA HII NI KWELI? NAWASILISHA KWA MJADALA.