CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Kuanzia wiki iliyopita, watu wengi wamejikuta wamepigwa na butwa kwenye atm, ukiingiza atm card, atm machine inakujibu change status, na wengi wao ni wale wanaotumia card mpya (nbc master card) Ukienda bank ndan wanakujibu account imefungwa wana update customers detail, wanakupa form ya kujaza na kwenda mahakaman au kwa mwana sheria na barua ya kwenda serikali ya mtaa. Sasa 1.walipokuwa wanabadilisha card mpya, nbc master card, kwa nini wasingesema moja ya masharti ni hayo.
2. Kwenye form ile ya kubadilisha card tulijaza namba za simu, kwanin wasinge/wasipige simu kujulisha hayo mahitaji/mabadiliko, badala ya kufunga a/c. Bank kwenyewe folen kubwa, mlolongo mrefu. Sasa nini maana ya kujaza namba za simu au email address? Wameshindwa hata kutuma msg. Na mbaya zaid ili zoez limeanza kipindi cha mishahara! Kwa hili nbc mbadilike!
2. Kwenye form ile ya kubadilisha card tulijaza namba za simu, kwanin wasinge/wasipige simu kujulisha hayo mahitaji/mabadiliko, badala ya kufunga a/c. Bank kwenyewe folen kubwa, mlolongo mrefu. Sasa nini maana ya kujaza namba za simu au email address? Wameshindwa hata kutuma msg. Na mbaya zaid ili zoez limeanza kipindi cha mishahara! Kwa hili nbc mbadilike!