Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ni huko Gongolamboto.
Slaa alikuwa mmoja ya waombolezaji.
Makongolo na wafuasi wake pia walikuwapo.
Lakini baada ya Makongolo na watu wake kuondoka, huku nyuma (msibani) zikarindima risasi. Zikafyatuliwa hewani. Taharuki. Watu wakazani mabom.
Source: Barua ya Wasomaji(Mwananchi)----(kwa hisani ya Anne Makinda)
Slaa alikuwa mmoja ya waombolezaji.
Makongolo na wafuasi wake pia walikuwapo.
Lakini baada ya Makongolo na watu wake kuondoka, huku nyuma (msibani) zikarindima risasi. Zikafyatuliwa hewani. Taharuki. Watu wakazani mabom.
Source: Barua ya Wasomaji(Mwananchi)----(kwa hisani ya Anne Makinda)