Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kitika tafakari yangu ya leo nimejiuliza vituo vya magari yaendayo kwa kasi vinakamilika, je hayo magari yatatumia barabara gani? Na je kwani haya yaliyopo hayawezi kwenda kwa kasi?maana kama sio hizi traffic jam mabasi yanaeza kwenda mwendo mkali sana tu. Mtazamo wangu naona ni watu wanajijengea mradi wao na baada kuja kutojea kashfa za ajabu ajabu kama ilivyo kawaida ya nchi yetu. Kama kuna yeyote mwenyekufahamu zaidi juu ya hili anijuze jama.
Nawakilisha
Nawakilisha