Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
ushabiki maandazi na kumtukuza shetani
Mmmmh!! wewe ungefanyaje?
Nyie watu bana! mambo mnayoyawaza huwa yananishangaza sana!
Noja nijikate k i- slace mie!!
Je akubali, je akamshitaki kwa wazazi, je amruhusu mumewe akaitafute huduma hiyo nje?
Je akubali, je akamshitaki kwa wazazi, je amruhusu mumewe akaitafute huduma hiyo nje?
tgooooooooooooooo njo basi...:A S-baby:
miss u boy....utanipeleka KUCHA?
haha hahh msalimie b bonge!!!!!!!!!
These words are abusive and should not be used here!
What is wrong with our thinking process? Why should we debate about Tigo? Do we encourage it?
A woman should not encourage, this, in any event. Mwache mumeo awe na hawara (ni kasumba yake) kuliko kudharirika!
Hivi leo ni maadhimisho ya siku ya tigo duniani?
Kwenye daladala maongezi ni tigo, ofisini nako ni hivyohivyo, hata na jf pia?
Amazing
Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6 sasa - house girl wamekaa naye zaidi ya miaka 2 sasa.
Wife alivyotaka kujua kwanini jamaa anamla huyo house girl, jamaa akadai eti house girl anaweza kuruka ukuta wakati yeye wife hataki.
Hivyo kama anataka aendelee naye basi naye akubali kuruka ukuta (sasa sijui atakaa nao wote wawili au ...). Mama wa watu amejiondokea, ameacha hapo watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana 4.
Leo ni mwezi wa pili jamaa anaendelea kufurahia tigo ya house girl. Kinachonisikitisha na kunishangaza, yaani tumefikia hatua hii jamani? kusema kweli mimi kama mwanaume nimejisikia kuumia sana moyoni mwangu! kwanini tunawa-treat hivi hawa viumbe? Nawasilisha jamani.
Kama hujaelewa ujue habari imepishana umri na wewe na hivyo haikuhusu!mbona hueleweki??? eti housegirl anaweza kuruka ukuta...jamaa anafurahia tigo ya housegirl...maana yake nini???? tumia basi lugha nzuri bwana ili tuelewane.
Leo kuna nini?
This is too much! mi nilidhani sanaa hii ipo maeneo ya pwani pwani tu kumbe mpaka bara! huu utandawazi utaleta athari mbaya!Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6 sasa - house girl wamekaa naye zaidi ya miaka 2 sasa. Wife alivyotaka kujua kwanini jamaa anamla huyo house girl, jamaa akadai eti house girl anaweza kuruka ukuta wakati yeye wife hataki. Hivyo kama anataka aendelee naye basi naye akubali kuruka ukuta (sasa sijui atakaa nao wote wawili au ...). Mama wa watu amejiondokea, ameacha hapo watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana 4. Leo ni mwezi wa pili jamaa anaendelea kufurahia tigo ya house girl. Kinachonisikitisha na kunishangaza, yaani tumefikia hatua hii jamani? kusema kweli mimi kama mwanaume nimejisikia kuumia sana moyoni mwangu! kwanini tunawa-treat hivi hawa viumbe? Nawasilisha jamani.