Hii ya Bunge letu na ajali za kushtukizi imekaaje..

Naamin ni ajali ya kawaida tu, kama ajali nyinginge. Mungu amlaze mahari pepa pepon amin
 
regia mtema angefuata nyayo za mdee. Ni lazima angechukua jimbo la kilombero, so wakamuwahi. Wapiganaji cdm mkae macho. Those guys in the dark shoot aqurately and mercilessily
 
Mi hata sisemi maana anayejua ukweli ni Mungu na humlipa kila m2 kadiri ya matendo yake kwa hyo kama kuna mkono wa m2 basi Mungu anajua cha kumwadhibu,lala salama dada ye2,
 
Kuna mtu anayejuwa kuwa hilo gari lilikuwa well equiped to be driven personally by a person with disability?

Pili, was it neccessary for her to drive personally on a long trip?

Ukweli pia na barabara zetu na hao madereva wa malori, hata kama kuna ambao ni mkono wa mtu, madereva wa malori ni rahisi kuwasingizia kwasababu ni ukweli wengine wanakuchomekea trailer na hata hawakujui.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
mi naamini kwa wabunge wa upinzani kuna 70% ya mkono wa mtu

Tena ni mkono wa magamba na walaaniwe magamba wote,vifo vyao vitakuwa vya mateso makubwa,chozi la mnyonge huwa halipotei bule kuna malipo yake tu.
 
Kuna watu wanasafiri kila leo tena masafa marefu nchi kwa nchi kwa nini wao hawapati ajali?
 
uchunguzi wa kina ni muhimu kubaini kama ni mkono wa Mungu ama ni mkono wa mtu. Kama ni mkono wa Mungu jina la Bwana lihimidiwe kama ni mkono wa mtu.......! RIP dada REGIA
 
As long as it has been difficult to prove beyond no doubt that kuna mkono wa mtu, hii bado inabaki kuwa kazi ya Mungu. Hakuna anayetupa na kutoa uhai isipokuwa yeye tu!!
 
kweli aiseee!..mia

Kila kilicho jema hudumu kwa njia mbalimbali ikiwemo matendo aliyotenda mtu, mawazo na nadharia alizozifuata na kuziamini. Tuenzi kile alichotuachia kama kuna mkono wa mtu uchunguzi ufanywe lakini Mungu ataonyesha nguvu yake juu ya uovu wowote utendwao na mwanadamu
 
Nadhani ni double coincidence tu, japo kweli Salome Mbatia fuso lorry ilihusika, Dr Mwakyembe alikuwa ana overtake lori Ihemi pale, huyo mbunge wa unguja nae dereva wake alikuwa ana overtake tanker, hii ya leo tena. anyway RIP once again
 
Kuna mtu anayejuwa kuwa hilo gari lilikuwa well euiped to be driven personally by a person with disability?

Pili, was it neccessary for her to drive personally on a long trip?

Ukweli pia na barabara zetu na hao madereva wa malori, hata kama kuna ambao ni mkono wa mtu, madereva wa malori ni rahisi kuwasingizia kwasababu ni ukweli wengine wanakuchomekea trailer na hata hawakujui.


Alale Pema peponi Dada yetu!! Mungu amempenda zaidi jina lake liidimiwe.
Tusitafute mchawi na kama tukijiuliza maswali kwa upande wangu,nimesukumwa sana na ili kuwa marehemu alikuwa ndie drive,hakika sikutegemea hata siku moja kwa hali yake ya disability kuwa angeweza kuendesha gari.Ndio kwa Nchi za wenzetu wana system maalumu ufungwa kwenye gari la muhusika na hivyo kuweza kulitumia.

Lakini kwa mfumo wa magari yetu mengi Nchini ni Manual system na Automatic System,hivyo kwa uwezo wake yeye hakika sitegemei Tanzania kama kuna Kitengo cha Usalama Barabarni kilitoa leseni kwa Dada huyu ili aendeshe gari yake hiyo ambayo hatujajua kama mfumo wa muundo wake ni Manual sytem Gear au ni Automatic System Gear.

Na hata kama ni Automatic System ambayo kwa Watanzani wengi madereva ambao ni Wanawake upenda kuendesha magari ambayo mfumo wake ni Automatic System Gear Drive, kwa kuwa mfumo huo unamlaisishia mwendeshaji na hivyo kutokuwa na kazi sana kweye miguu na mikono yake.Hivyo kwa hilo bado kwa hali halisi ya Mheshimiwa Marehemu kama kweli alikuwa ni mmilki wa leseni ya kuendesha gari mwenyewe sijui kama ilikuwa ni sahihi kumilikishwa leseni ya kuendesha gari hiyo au vinginevyo alikuwa analitumia mwenyewe pasi umilki halali wa leseni ya kuendeshea.

Lakini yote kwa yote hiyo ni ajali kwa mtu yoyote yule ambae amepata kuendesha gari,haswa wanaoendesha magari kwa kasi,ukizingatia marehemu alikuwa anaovertake gari nyingine hivyo ilibidi kutumia kasi kubwa ambayo kwa hakika dereva yoyote yulea anejua gari na swala linaloitwa kasi au speed chochote kinaweza kutokea hivyo yote yanayotokea ndani ya muda dereva anapoovertake gari nyingine utegemea maamuzi yake na busara zake katika tendo hilo na si nje ya hivyo.

Yametokea tumuombee kwa Mungu,tuondoe lawama za kibinadamu kwa kuwa kama gari limepinduka lenyewe na kwa ushuhuda wa kijana aliyekuwa nae kwenye gari kuwa wakati wanaovertake walimwambia kuongeza speed hakika ukilejea maelezo yangu hapo juu,kwa picha hiyo unagundua nini chanzo na sababu ya ajari.RIP Reg.
 
Ule mkopo aliochukua bungeni kwa ajili ya lile shangingi nani ataludisha
 
Msiwe na mawazo mgando kwani yeye asife amekuwa nani??

Mda mwingine huwa tunawaonea madereva wa maroli bure.Na hasa hawa madereva wawa endeshao wakubwa serikalin hujisikia sana nakusahau kuwa ajari haina mwenyewe.

Acheni unafki nyie mwashangaa wabunge kufa na ajari kwani ni raia wangapi wanafariki kila siku kutokana na ajari??
Tatizo sasa hivi kila kitu watu wamekiweka kisiasa zaidi.

Kifo ni haki ya kila binadam hapa dunian.
 
Nilatamani iwe ndoto lkn ni lazima nikubali kuwa mpambanaji ametutoka.
 
Alale Pema peponi Dada yetu!! Mungu amempenda zaidi jina lake liidimiwe.
Tusitafute mchawi na kama tukijiuliza maswali kwa upande wangu,nimesukumwa sana na ili kuwa marehemu alikuwa ndie drive,hakika sikutegemea hata siku moja kwa hali yake ya disability kuwa angeweza kuendesha gari.Ndio kwa Nchi za wenzetu wana system maalumu ufungwa kwenye gari la muhusika na hivyo kuweza kulitumia.

Lakini kwa mfumo wa magari yetu mengi Nchini ni Manual system na Automatic System,hivyo kwa uwezo wake yeye hakika sitegemei Tanzania kama kuna Kitengo cha Usalama Barabarni kilitoa leseni kwa Dada huyu ili aendeshe gari yake hiyo ambayo hatujajua kama mfumo wa muundo wake ni Manual sytem Gear au ni Automatic System Gear.

Na hata kama ni Automatic System ambayo kwa Watanzani wengi madereva ambao ni Wanawake upenda kuendesha magari ambayo mfumo wake ni Automatic System Gear Drive, kwa kuwa mfumo huo unamlaisishia mwendeshaji na hivyo kutokuwa na kazi sana kweye miguu na mikono yake.Hivyo kwa hilo bado kwa hali halisi ya Mheshimiwa Marehemu kama kweli alikuwa ni mmilki wa leseni ya kuendesha gari mwenyewe sijui kama ilikuwa ni sahihi kumilikishwa leseni ya kuendesha gari hiyo au vinginevyo alikuwa analitumia mwenyewe pasi umilki halali wa leseni ya kuendeshea.

Lakini yote kwa yote hiyo ni ajali kwa mtu yoyote yule ambae amepata kuendesha gari,haswa wanaoendesha magari kwa kasi,ukizingatia marehemu alikuwa anaovertake gari nyingine hivyo ilibidi kutumia kasi kubwa ambayo kwa hakika dereva yoyote yulea anejua gari na swala linaloitwa kasi au speed chochote kinaweza kutokea hivyo yote yanayotokea ndani ya muda dereva anapoovertake gari nyingine utegemea maamuzi yake na busara zake katika tendo hilo na si nje ya hivyo.

Yametokea tumuombee kwa Mungu,tuondoe lawama za kibinadamu kwa kuwa kama gari limepinduka lenyewe na kwa ushuhuda wa kijana aliyekuwa nae kwenye gari kuwa wakati wanaovertake walimwambia kuongeza speed hakika ukilejea maelezo yangu hapo juu,kwa picha hiyo unagundua nini chanzo na sababu ya ajari.RIP Reg.
Kama unavyosema ndugu ni kweli itakuwa vigumu sana kwenye hii ajali kuhusisha mkono wa mtu (kama kweli upo)kwani aliyekuwa anaendesha ni Regia na ndiye aliyeathirika.Kutokana na mazingira ya ilivyotokea ajali ni dhahiri kuwa maamuzi ya nini cha kufanya wakati wa ku overtake yalifanywa na yeye kama dereva.Kama ajali ingetokea wakati anaendeshwa na dereva mwingine ingekuwa rahisi kuhusisha hujuma kwenye kifo chake, pia kama angegongwa yeye.....kwa nyuma kungekuwa na walakini......lakini pia pamoja na kwamba yeye ndie alikuwa na maamuzi ya mwisho.....lazima dereva wa gari ya mbele nae ahojiwe.....kuna madereva wenye roho mbaya ambao unamwomba kuovertake(wewe ukiwa nyuma yake)alafu yeye kwa roho mbaya anakuruhusu kumpita(kwa kuonyesha taa)wakati anaona mbele kuna gari inakaribia.Huu mchezo mchafu upo sana tz......mtu yuko mbele yako kwenye gari kubwa ambako anaona mbali mbele na kuna gari inakuja alafu ukimwomba ku overtake(wewe ukiwa kwa gari ndogo na huoni mbali mbele)yeye anakuruhusu tu.....na unashtuka ghafla mbele yako gari hilo!!!hii imenitokea sana na siku hizi siwaamini kabisa madereva wa tz wanapokuwa mbele yangu.....ni bora kufanya maamuzi mwenyewe ni wakati gani wa ku overtake(haswa kunapokuwa na gari kubwa mbele na hata nyuma(malori na mabasi ni hatari kweli kweli -haswa mafuso).Hujuma kwenye hii ajali ni vigumu sana kuipima.....suala la marehemu kuendesha akiwa mlemavu nalo ni la kuangalia na pia umiliki wa leseni kwa hali yake......mara nyingi tz haya mambo huwa hayazungumziwi lakini ajali zinapotokea huwa zinakuwa very catastrophic.....ajali nyingi tz zinasababishwa na physical conditions za dereva(mfano kuto kuqualify kuwa dereva au kuendesha ukiwa mgonjwa)and psychological conditions za dereva(mfano kuendesha ukiwa umelewa etc).That said, ukweli unabaki pale pale kuwa watanzania siku zote wanatembea na kifo mkononi.(kwa njia ya ajali za barabarani)......kila mtu kwa nafasi yake.....haijalishi uko kwenye gari yako au dala dala au unatembea miguu...anyway yaani......driving in tz is very very rough yaani......for those who don't know....road traffic accidents(RTA) are number one killer in tz (ahead of all kinds of diseases we have)......you wan't to know about this....go ask the ministry of health........
 
kinachonishangaza ni kuwa ajali ya mbunge uhusisha roli, semitrela n.k basi. alafu mara zote anakufa peke yake ktk ajali iyo-alaf huwa ni kwenye ku oveitake lori. Nikawaza kuwa labda Mungu kawapangia wabunge wetu kuwa mwisho wao ni malori tu. Siutaki ubunge wa kitanzania! mbunge asipata ajali anakufa kwa ajali ya sumu.

Msaidizi wa Regia wa nyumbani nae amepumzika muda mfupi uliopita. Mungu awape kupumzika kwa amani.
 
Dawa ni kuwamaliza wanaoratibu hizo hajali.Tuwatafute na tuanzishe genge la kuwamaliza wao pia.Mimi nilikuwa naishi Brazili ,nitakuja kuwapa mkakati jinsi ya kuwamaliza hao wanaowamaliza wenzao.ni rahisi sana sanaaaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom