Amakando
Senior Member
- May 9, 2011
- 158
- 27
Wadau nimejiuliza na kukosa majibu, hivi kweli tasisi nyeti namna hii inashindwa kuwa na namna nzuri na ya kisasa ya kuwasilisha maombi ya kazi kwa njia ya E-mail mpaka tutumie posta? je kuna ugumu gani wa meneja mwajiri kuwasiliana na watafutao kazi ambazo zimetangazwa nae (BOT) kwa njia ya kielectronic? Au ni mwendelezo ule ule wa kupeana ajira kwa njia ya kujuana? je wenye sifa na ambao wako mikoani mbali na Dar wafanyeje? du nimebaki na labda!!!!! nisaidieni :sleepy::sleepy: