ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala
Uko sahihi bingwa. kwani watanzania hawajui mitambo hiyo inakonunuliwa? umasaburi tu ndio unaowasumbua.