Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
LOL! Jamani kweli ndoa ngumu kama habari zenyewe ndio hiziWandugu humu jamvini hebu mnisaidie hapa. Jana nilipotoka kazini kwangu nilipita sehemu na jamaa yangu tulisom wote chuo lakini tukapoteana kwa takribani miaka 7. Kwa hiyo katika kupat nafasi ya mazungumzo tukaamua tukae mahali ambapo tulikuwa tukipata kinywaji huku tukiendelea na mazungumzo na mamaaa nilimfahamisha jambo hili kuwa niko na huyo jamaa yangu ambaye nae pia anamfahamu. Baada ya kushindilia kilaji cha kutosha tukaagana na jamaa nami nikaelekea kwangu. Kiukweli nilipofika home baada ya kuoga nilimstua mamsap kuwa sitakula kula chakula. Baada ya mazungumzo kidogo tukaenda kulala nami kama kawaida ukizingatia nilishapiga na kilaji cha kutosha nilikuwa na hamu na mamsapu sana ukizingatia nilitandika vi-emolo vitatu na mambo mengine. Tukiendelea kupeana raha ghafla akaniuliza kitu ambacho sijapata jibu mpaka muda..Kuwa mbona nilikuwa natumia nguvu sana mbona wenzangu hawatumii nguvu sana?? Kwa kweli lile neno " mbona wenzako hawatumii nguvu" Ilibidi nisite kwanza kusukuma mzigo na kumuluuliza wenzangu akina nani?? hata yeye aliduwaa kwanza na zoezi likasimama moja kwa moja baada ya kumbana sana akadai alimaanisha kuwa eti mtu akiwa na mpenzi wake hakuhitaiki maguvu...Lakini bado akili hainipi kabisa!!! Hebu nishaurini au anamaanisha nina wasaidizi ambao ni soft touch???