Mbona ni kawaida tu mkuu au kuna shida gani??? may be kuanzia hapo tunaweza kushare something..!!hapo naomba uchangie bila jazba.
Au shemeji yetu nini anaoga na mpangaji mwenzie, afunguke mkuu kwa msaada zaidi.Wanaokoa muda ili na wengine nao watumie bafu kwa wakati ili wawahi foleni za barabarani...
Naona anaficha ficha, pengine hatimizi majukumu ya ndani ipasavyo, acha asaidiwe na shosti wake....Au shemeji yetu nini anaoga na mpangaji mwenzie, afunguke mkuu kwa msaada zaidi.
umenikumbusha eti mume na mke wanaoga bafu moja uswaz kwenye nyumba ya kupanga....
c mbaya but kwa vyoo vyetu vya wapangaji twapanga foleni"yan nyie masaa hamtoki mpk wengne tunajiharishia....!!Kuoga tu hakuna mbaya. Mbona wanalala chumba kimoja?
Watu wazima kuoga pamoja? Mtakuwa mmekutana wapi? Mie nina aibu sana. Siwezi.