Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mchagulie humu jf
Rejao.
Mchagulie humu jf
msamehe bure, ulishamuona anamfokea lukuvi au wasira? hua anawafokea mnyika na lissu kwa kua anajua moto wao ukiwaka hauzimwi hadi fire wafike wakati huo fire wako mbezi moto unawaka kigamboni.
mwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume
Amezaaje mkuu?
Short time
Hahaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! nimekumbuka, alikuwa S.A.S. alimpa za short time
waume za watu kiongozi
Tabia ya mtu asiejiamini, especially akipewa madaraka, huwa ni kuwa na ukali usiokuwa na logic behind. Kwa kawaida karibia 75% ya wanawake wasiokuwa na waume huwa na tabia kama hii, hasa inapokuwa matumaini ya kupata mume (sio hawara, nina maana "MUME"), yanapofikia ukingoni kutokana na kigezo cha umri. Jaribu kufanya uchunguzi utagundua hivyo.
tofautisha kuishi na mume na kukutana na mwanaume kimwili.fikiri kidogo kabla ya ku-type!
Ndo Maana hata MUNGU amelaani mamlaka zote zinazoongozwa na MwanamkeJamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........
Hii kauli ;kaaa chiniii
mwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume
Wakuu achaneni na hiyo habari ya kuwa au kutokuwa na mume. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na zaidi ya hapo huyo ni mama tujaribu kumpa heshima yake kama mama. Tujadili utendaji wake kama kiongozi kwani kwa kufanya hivyo kuna watakao jifunza kutokana na makosa yake ili wao waje wafanye vizuri zaidi.
Binafsi sipendi anavyoliendesha bunge kwa mabavu, uonevu kwa upinzani na upendeleo wa wazi kwa magamba lakini watu wakiaanza kukashfu kuhusu maisha yake binafsi huwa najisikia vibaya sana. SIYAPENDI MAGAMBA LAKINI SIPENDI ZAIDI KUTUKANA/KUKASHFU WATU KATIKA MAMBO BINAFSI.
mwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume
Acha uongo.Ni kawaida sana kwa wanawake wa kikinga na kibena, wao wana matrinial system ktk tamaduni zao, wanamke ndie kila kitu.
Huenda ni m.s.a****gajimwanamke anayeishi bila mume mara nyingi anakuwa na hulka za ajabu ajabu tu, hizo zote ni kukosa mume