- Thread starter
- #41
Yaaani mbavu sina,unajuwa JF ni more than nothing,haya mambo mie yameshanitokea sana na nikafikiri kuwa ni wa kwangu tu ndio yuko hivyo,nimeshamuacha mara kibao lakini hakomi,mwishowe nimeamua ninyamaze tu maana mpaka saa nyingine namuonea huruma,akishasikia nimewasha gari anajua ntamuacha tu hivyo kidogo inamfanya awahishe kujipodoa,sasa hivi nimeamua awe anaanza yeye kuoga halafu baada ya dakika kama 10 ndio na mimi naingia bafuni ili angalau inapofikia muda wa kutoka tutoe droo.Anyways leo ni me-proove kuwa ni tabia yao kwani inanikumbusha hata mama yangu naye alikuwa anazozana sana na mzee wangu kwa jambo hili.God create dem women we must treat dem tenderly and i do adore my wife so dearly n won't treat her harsh anymore.
Ni kweli mwanzoni huwa inatiaga hasira sana, ila kama ulivyosema we must treat them tenderly and love them .If you love her then you wont see it as problem , you will learn to cope with it.