Hapa ni maeneo ya Buguruni, kuna watoto wengi sana kwenye lango hili na ni asubuhi sana saa 12. Ninachujua hapo si shule ya chekechea. Si leo tu.
Inawezekana wanapanga foleni ya kupata chochote kitu. Je, tutawatoa watu wetu kwa mtindo huu au tunajenga taifa la ombaomba? Tafakari!!!!!
Inawezekana wanapanga foleni ya kupata chochote kitu. Je, tutawatoa watu wetu kwa mtindo huu au tunajenga taifa la ombaomba? Tafakari!!!!!