Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,262
Your doubt doesn't change the fact that I am innocent...
Iwe kweli au uongo HAIJALISHI. Kinachojalisha ni kua mazingira na matendo yamekuhukumu ndio maana hata mwenzio kajitenga na wewe.
Your doubt doesn't change the fact that I am innocent...
Ukweli ni jambo muhimu ambalo litanusuru mambo mengi, kwa siku kadhaa nimekuwa nikimfuatilia dada fulani ambaye kanihakikishia kuwa yuko free, si hivyo tu pia kanihakikishia kuwa yuko tayari kuwa na mimi. Nimejipanga kadri ya uwezo wangu kupeleka barua ndo ananiambia kuwa samahani nimechumbiwa. Baada ya kuchunguza nimegundua ni kweli kachumbiwa na jamaa mmoja ambaye anaishi Dubai toka mwaka jana mwezi wa nne. Huu sio ustaarabu bora kuwa wawazi, ndani ya miezi minne niko na matumaini kumbe najivunia garasa. SI TABIA NZURI kuweni wazi, ona sasa wiki nzima sina raha nashindwa hata kufanya kazi zangu kwa ufanisi.
Ukweli ni jambo muhimu ambalo litanusuru mambo mengi, kwa siku kadhaa nimekuwa nikimfuatilia dada fulani ambaye kanihakikishia kuwa yuko free, si hivyo tu pia kanihakikishia kuwa yuko tayari kuwa na mimi. Nimejipanga kadri ya uwezo wangu kupeleka barua ndo ananiambia kuwa samahani nimechumbiwa. Baada ya kuchunguza nimegundua ni kweli kachumbiwa na jamaa mmoja ambaye anaishi Dubai toka mwaka jana mwezi wa nne. Huu sio ustaarabu bora kuwa wawazi, ndani ya miezi minne niko na matumaini kumbe najivunia garasa. SI TABIA NZURI kuweni wazi, ona sasa wiki nzima sina raha nashindwa hata kufanya kazi zangu kwa ufanisi.
Iwe kweli au uongo HAIJALISHI. Kinachojalisha ni kua mazingira na matendo yamekuhukumu ndio maana hata mwenzio kajitenga na wewe.
She was wrong and she will come back to me and prove that
Preta, unamaanisha kuwa miezi minne ni michache. Kwa upeo wangu
kama umeshindwa kufanya Investigation ndani ya miezi 4 hata miaka
miwili huwezi pia.
Preta, unamaanisha kuwa miezi minne ni michache. Kwa upeo wangu
kama umeshindwa kufanya Investigation ndani ya miezi 4 hata miaka
miwili huwezi pia.
Swala la muda gani wa kumchunguza mwenzio limekuwa gumu kueleweka, Preta naomba kama bado uko jukwaani uje na ufafanuzi wa muda gani unatosha kumchunguza mwenzio. Ninavyofahamu watu wanaokaa muda mrefu si kwamba wanachunguzana wameamua kuishi tu! Muda wa kumchunguza mtu ni mfupi tu! Wapo walioishi miaka mitano hadi kumi bila ndoa, lakini miaka miwili baada ya ndoa wakaachana Please PRETA nahitaji Clarification zaidi! Maana umekuwa mshabiki mkubwa wa kutaka muda wa kuchunguzana uwe mrefu.
umenena vemandio utie akili......
ndani ya miezi minne unatangaza ndoa......
nani alikwambia huwa tunataka kuolewa haraka haraka.....
au mnadhani huwa na sisi hatuhitaji kuwachunguza.....
next time usirudie......ni kosa kubwa sana kushobokea ndoa mapema.....
pole lakini.....itapita utazoea....ndio maisha......