Nungunungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2007
- 311
- 13
Baada ya uchaguzi kumalizika na wakati watu wakitafakari ni muhimu kufahamu:
Kuwamwagia watu Tindikali sio Siasa. Ni Mauaji. Ni Ugaidi. Tunalaani kama tulivyolaani alipomwagiwa Kubenea.
Kuchoma nyumba za watu sio Siasa. Ni Mauaji. Ni Ugaidi.
Endapo haya tutayashabikia na kuyaona mambo ya kawaida, tuelewe Kenya haipo mbali nasi.
Hayo hatukupata kuyaona huko nyuma na tusingependa yaendelee.
Mwanademokrasia yeyote lazima apinge uhuni wa aina yoyote kwa nguvu zote!
Chama kitakachoshabikia matukio haya hakitastahili kuitwa chama cha siasa.
Mwenye macho haambiwi Tazama.
Kuwamwagia watu Tindikali sio Siasa. Ni Mauaji. Ni Ugaidi. Tunalaani kama tulivyolaani alipomwagiwa Kubenea.
Kuchoma nyumba za watu sio Siasa. Ni Mauaji. Ni Ugaidi.
Endapo haya tutayashabikia na kuyaona mambo ya kawaida, tuelewe Kenya haipo mbali nasi.
Hayo hatukupata kuyaona huko nyuma na tusingependa yaendelee.
Mwanademokrasia yeyote lazima apinge uhuni wa aina yoyote kwa nguvu zote!
Chama kitakachoshabikia matukio haya hakitastahili kuitwa chama cha siasa.
Mwenye macho haambiwi Tazama.