Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
Nilikuwa naelekea maeneo ya Tegeta wakati nakaribia stendi ya daladala kukawa kunaingia magari aina ya coaster yamebeba nadhani wafuasi wa magamba kwa vile yalikuwa yamepambwa kwa rangi za njano na kijani.
Cha kusikitisha ni kwamba yalipofika tu eneo hilo la stendi ambalo lina watu wengi sana kwa vile kuna soko pia, vijana na watu waliokuwa maeneo hayo wakalipuka kwa kuzomea kitu ambacho sikukipenda sana maana kila mtu ana haki ya kupenda anachokiamini hata kama hakiaminiki tena!
Tujifunze kauvumilivu jamani hata kama hatupendi
Cha kusikitisha ni kwamba yalipofika tu eneo hilo la stendi ambalo lina watu wengi sana kwa vile kuna soko pia, vijana na watu waliokuwa maeneo hayo wakalipuka kwa kuzomea kitu ambacho sikukipenda sana maana kila mtu ana haki ya kupenda anachokiamini hata kama hakiaminiki tena!
Tujifunze kauvumilivu jamani hata kama hatupendi