Hii sintoisahau!!!

Salaam wana JF<br />
Wakati nasoma Sua, ue ya kumaliza semister ya pili, nipo kwenye pepa, bado kama maswali mawili. Msimamizi akatangaza kuwa bado ten minutes. Mtu mzima nika &quot;piz&quot; (kitu kikasimama antention). Nilipata raha, hata kuendelea na mtihani sikuwe tena.<br />
Imeshawahi kukutokea?<br />
Unafikiri ni kwanin?<br />
Nawakilisha kwenu.
<br />
<br />
hii ishu kuna watu kama wawili walishawahi niambia nikabisha na mpaka sasa siamini hiki kitu.
ni hatari sana duu kwikwikwikiwkwiiii..
 
nadhan tatizo linakua n stress!unajua mambo ya kupiga bao yanachangiwa na ubongo!sasa ukipata mshtuko network inapotea unajikuta umepiga bao!vijana mkiingia kwenye pepa ngumu inabd uwe na jeans!unaweza kuumbuka hv hv
<br />
<br />
mmmh...mbona cjawah ckia mtu kanya? Mana kama ni mshtuko nlitaraj ungesema sphincter muscles zaweza kuachia kidogo...itakua kuna zaid ya gapo.
 
Hiyo wenzetu wanaita "involuntary erection" husababishwa na hofu na au mshtuko, moyo huenda mbio na damu hu flow kwa haraka zaidi na huishia kujaa kule ambako pana capacity ya kupokea hiyo flow, Hii hutokea hata asubuhi wanapoamka wanaume inaitwa "morning boner", sababu yake inafanana na hiyo, maana binaadam akilala anakuwa relaxed na mapigo ya moyo huwa normal au even slightly below normal, akiamka moyo hu-pump zaidi kidogo ya alipokuwa usingizini hupelekea flow ya damu kwenda kwa haraka na huishia kule kule kwenye capacity ya kupokea hiyo flow na result ndio hiyo "morning boner"

Na ni vizuri kuwa imekuwa designed kwenda huko (kwa kudra zake Mwenyeezi Mungu, imagine ingekuwa haiendi huko, stroke zingezidi duniani hususan kwa vijana wa kiume.

Hope that answers the question.
 
Hiyo wenzetu wanaita &quot;involuntary erection&quot; husababishwa na hofu na au mshtuko, moyo huenda mbio na damu hu flow kwa haraka zaidi na huishia kujaa kule ambako pana capacity ya kupokea hiyo flow, Hii hutokea hata asubuhi wanapoamka wanaume inaitwa &quot;morning boner&quot;, sababu yake inafanana na hiyo, maana binaadam akilala anakuwa relaxed na mapigo ya moyo huwa normal au even slightly below normal, akiamka moyo hu-pump zaidi kidogo ya alipokuwa usingizini hupelekea flow ya damu kwenda kwa haraka na huishia kule kule kwenye capacity ya kupokea hiyo flow na result ndio hiyo &quot;morning boner&quot;<br />
<br />
Na ni vizuri kuwa imekuwa designed kwenda huko (kwa kudra zake Mwenyeezi Mungu, imagine ingekuwa haiendi huko, stroke zingezidi duniani hususan kwa vijana wa kiume.<br />
<br />
Hope that answers the question.
<br />
<br />
thnx much. Jibu lipo clear sana.
 
Salaam wana JF
Wakati nasoma Sua, ue ya kumaliza semister ya pili, nipo kwenye pepa, bado kama maswali mawili. Msimamizi akatangaza kuwa bado ten minutes. Mtu mzima nika "piz" (kitu kikasimama antention). Nilipata raha, hata kuendelea na mtihani sikuwe tena.
Imeshawahi kukutokea?
Unafikiri ni kwanin?
Nawakilisha kwenu.

Umenichekesha sana Jah!
 
Hiyo wenzetu wanaita &quot;involuntary erection&quot; husababishwa na hofu na au mshtuko, moyo huenda mbio na damu hu flow kwa haraka zaidi na huishia kujaa kule ambako pana capacity ya kupokea hiyo flow, Hii hutokea hata asubuhi wanapoamka wanaume inaitwa &quot;morning boner&quot;, sababu yake inafanana na hiyo, maana binaadam akilala anakuwa relaxed na mapigo ya moyo huwa normal au even slightly below normal, akiamka moyo hu-pump zaidi kidogo ya alipokuwa usingizini hupelekea flow ya damu kwenda kwa haraka na huishia kule kule kwenye capacity ya kupokea hiyo flow na result ndio hiyo &quot;morning boner&quot;<br />
<br />
Na ni vizuri kuwa imekuwa designed kwenda huko (kwa kudra zake Mwenyeezi Mungu, imagine ingekuwa haiendi huko, stroke zingezidi duniani hususan kwa vijana wa kiume.<br />
<br />
Hope that answers the question.
<br />
<br />
thanks kwa ushauri sasa kama mama ushauri vile..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom