Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,787
Salaam wana JF
Wakati nasoma Sua, ue ya kumaliza semister ya pili, nipo kwenye pepa, bado kama maswali mawili. Msimamizi akatangaza kuwa bado ten minutes. Mtu mzima nika "piz" (kitu kikasimama antention). Nilipata raha, hata kuendelea na mtihani sikuwe tena.
Imeshawahi kukutokea?
Unafikiri ni kwanin?
Nawakilisha kwenu.
Wakati nasoma Sua, ue ya kumaliza semister ya pili, nipo kwenye pepa, bado kama maswali mawili. Msimamizi akatangaza kuwa bado ten minutes. Mtu mzima nika "piz" (kitu kikasimama antention). Nilipata raha, hata kuendelea na mtihani sikuwe tena.
Imeshawahi kukutokea?
Unafikiri ni kwanin?
Nawakilisha kwenu.