Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Serikali ilihamasisha watanachama wa DECI wajiorodheshe na kuhakiki madai yao, wananchi wakatii. Serikali ikatamka kwamba wana-DECI wataanza kupata fedha zao walizowekeza kwa mara ya kwanza ambao hawajawahi kuvuna. Ghafla iongozi wa DECI wakakamatwa na kuwekwa ndani, wakafunguliwa kesi inayoendelea na haieleweki itaisha lini. Serikali nahimiza ujasiriamali ambao hauwezekani pasipokuwapo mtaji. Wananchi hohehahe na yoyoyoyo... walikuwa wanajaribu kuutubisha mitaji kupitia DECI huku serikali yenyewe inaona mchana kweupeeee na kodi inapata. Sasa pesa ya wananchi inarudishwa vipi na seikali iliyofungia accounts zenye pesa ya DECI? Millions of money, bado wanadhani watapigiwa kura Octoba kwa bila kupewa pesa zao? Inawajali hohehahe kweli?
Leka
Leka