Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,579
- 1,080
Wapi hii???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo nyuma ya mwanajeshi mtoto?
Wapi hii???
siyo wachaga wote wewe sema wachaga wa uru kishumundu.moshi round about ya ymca hapo zamani wachaga tulikuwa tukifika tunatupa ndizi nchini na kutoka baruti kwa kuogopa huyo jamaa anaweza kukupiga risasi
wenyewe kwawenyewe mnabaguana wachaga bana!siyo wachaga wote wewe sema wachaga wa uru kishumundu.
wenyewe kwawenyewe mnabaguana wachaga bana!
huyo nyuma ya mwanajeshi mtoto?
nani kasema tunabaguana mkuu?nasema hivyo maaana hata sanamu yenyewe imejengwa uru sasa wa rombo atakwendaje uru na ndizi?wenyewe kwawenyewe mnabaguana wachaga bana!
Una uhakika tuna shida?Karibu kwetu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Rombo,au tembelea U.K means Uru Kishumundu au nenda ukanda wa gaza (Palestina)Machame au Jews state of Kibosho au marangu U.S.A ndo ujue kama kweli tuna shida.shida sana hii mitu
wenyewe hawapendi tuwaite ivo wanataka tuwaite warussia yaani waurusi.sema wauru
hujasema ni wachaga wa wapi sasa??moshi round about ya ymca hapo zamani wachaga tulikuwa tukifika tunatupa ndizi nchini na kutoka baruti kwa kuogopa huyo jamaa anaweza kukupiga risasi
hahahahaha,,,,mule mule bwana kimichiouna uhakika tuna shida?karibu kwetu jamuhuri ya kidemokrasia ya watu wa rombo,au tembelea u.k means uru kishumundu au nenda ukanda wa gaza (palestina)machame au jews state of kibosho au marangu u.s.a ndo ujue kama kweli tuna shida.
Una uhakika tuna shida?Karibu kwetu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Rombo,au tembelea U.K means Uru Kishumundu au nenda ukanda wa gaza (Palestina)Machame au Jews state of Kibosho au marangu U.S.A ndo ujue kama kweli tuna shida.
hahahahahaha,Aisee !! Ila mbona mnakusahau old Moshi[Brooklyn] huko kila siku kama sikukuuuAisee we mutu nimekugongea senksi kule.....Haiwezekani hii yuziful posti ikapita hivi hivi. Siku hizi tunanywea bia Ziwa Chala pale huku tukiangalia kwa watani zetu wakamba wanavyohaha na mavumbi........