howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 28
"Huwarubuni wananchi wao wasio na uelewa kwa kuwafanyia sherehe kubwakubwa zisizo na maana yoyote. Wakirusha ndege moja ya kivita angani, wanawaambia wananchi wainue macho yao juu wayaone maendeleo yao. Maisha bora yanaonyeshwa kwa mizinga na vifaru vya kisasa. Mtu huna adui hata mmoja, lakini kila uendeko una panga mkononi. Ukiitwa chizi unakasirika sasa uitweje?
SOURCE: PASCALLY MAYEGA TANZANIA DAIMA JUMATANO 25/01/2012
SOURCE: PASCALLY MAYEGA TANZANIA DAIMA JUMATANO 25/01/2012