Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Hiki kitengo cha "Presidential Delivery Breau" Kilichoanzishwa hivi karibuni huenda kikasaidia sana katika kuharakisha maendeleo katika nchi yetu.
Kitengo hicho pamoja na mambo mengine kitahusika na kuwajibika katika kufatilia, kuraribu na kuhamasisha miradi yote inayoenzishwa nchini ili kuhakikisha inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati.Hii ni kutokana na ukweli kwamba Rais mwenyewe hawezi kujua miradi yote nchini, na kujua yote imefikia wapi na kwa wakati bila kuwa na chombo kama hiki hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mawaziri wazembe.
Naamini wazo la kuanzisha kitengo hicho litaweza kupunguza madhara yanayotokana na mawaziri wazembe kwa kiasi fulani , ikiwa kitengo hicho kitasimamiwa na watu makini.
Kitengo hicho pamoja na mambo mengine kitahusika na kuwajibika katika kufatilia, kuraribu na kuhamasisha miradi yote inayoenzishwa nchini ili kuhakikisha inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati.Hii ni kutokana na ukweli kwamba Rais mwenyewe hawezi kujua miradi yote nchini, na kujua yote imefikia wapi na kwa wakati bila kuwa na chombo kama hiki hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mawaziri wazembe.
Naamini wazo la kuanzisha kitengo hicho litaweza kupunguza madhara yanayotokana na mawaziri wazembe kwa kiasi fulani , ikiwa kitengo hicho kitasimamiwa na watu makini.