Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 352
- 170
Huyu kijana, kama atawasahau watu wake wa Arumeru Mashariki basi ajiandae kwa laana mbaya sana. Hizi baraka alizopewa za kutoka Moyoni haswa na akizitumia vibaya, zitamuharibu na kumpeleka pabaya zaidi ya watu waliokufa kwa kubugia unga. Anaweza kupata hela nyingi kama Whitney Houston ila akaishia kufia kwa kuzama kwenye bafu (Washing tab).
Kijana, kuwa mwangalifu sana na hizi BARAKA za wazee maana zinaweza kukugeuka.
Kila la kheri na fanaka kwenye kazi yako mpya na Mungu awe nawe.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kijana, kuwa mwangalifu sana na hizi BARAKA za wazee maana zinaweza kukugeuka.
Kila la kheri na fanaka kwenye kazi yako mpya na Mungu awe nawe.
Mungu Ibariki Tanzania.
Last edited by a moderator: