Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Kama kawaida yangu huwa siachi kamera yangu kwa ajili ya matukio mabali mbali jijini Dar.
Nilipita Ocean Rd na nikaona watu wamepumzika na kupunga upepo.Mimi nikatoa kamera yangu na kuchukua hali ile mwanana.
Mara aktokea Afwande Arufonsi na kuniuliza
"haroo rete kibari chako"
"S..sina.. kibali afwendi kwani kupiga picha hapa inakuwaje" nikamjibu
"Wewe rinatoka wapi, na kama hujui kuwa hapa hakuna ruhusa twende kituoni" Arufonsi akawa mkali
"B... basi afwendi nihurumie nina mke na watoto wanao nitegemea" nikamjibu
"Araaa hutaki kwenda kituoni sioo, ohoo wewe hujui hapa ni njia ya ikuru" bado Arufonsi mkali.
Hapo nikaona nimpooze kidogo,
"Afwande mimi Mbongo pyuwa, na najua hujaweka chochote tumboni, chukua hii kapate ranchi basi"
Kwa mara ya kwanza nikaliona gego la afwande Arufonsi " Nenda sako, hapa mahari pa usarama"
Lets share JF
Nilipita Ocean Rd na nikaona watu wamepumzika na kupunga upepo.Mimi nikatoa kamera yangu na kuchukua hali ile mwanana.
Mara aktokea Afwande Arufonsi na kuniuliza
"haroo rete kibari chako"
"S..sina.. kibali afwendi kwani kupiga picha hapa inakuwaje" nikamjibu
"Wewe rinatoka wapi, na kama hujui kuwa hapa hakuna ruhusa twende kituoni" Arufonsi akawa mkali
"B... basi afwendi nihurumie nina mke na watoto wanao nitegemea" nikamjibu
"Araaa hutaki kwenda kituoni sioo, ohoo wewe hujui hapa ni njia ya ikuru" bado Arufonsi mkali.
Hapo nikaona nimpooze kidogo,
"Afwande mimi Mbongo pyuwa, na najua hujaweka chochote tumboni, chukua hii kapate ranchi basi"
Kwa mara ya kwanza nikaliona gego la afwande Arufonsi " Nenda sako, hapa mahari pa usarama"
Lets share JF