Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Dah! Kwa akina sie hizo teminology na technical settings tutaweza kweli??
Mwisho wa siku watumiaji wote wa Modems tutakua mafundi wa IT sasa. Mweee.....!!??
usiogope mkuu......hiki kipya ukikiweka tu....unaendelea kubonyeza taratibu....huumizi akili yako.......