Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
- Thread starter
- #41
40yrs naye mzembe tu watu wanapiga mzigo mpaka 60
DA Kumbuka haka kabitinti kana miaka 21 tu.
40yrs naye mzembe tu watu wanapiga mzigo mpaka 60
kama unamchafua inamaana kavu kavu, ngoma inakuhusu man!
Acha kutoa lana basi!! We badala ya kutoa ushauri unatoa lana. KOMA
hahah!!mkuu nguvu hunaa unataka nyumba ndogo,yawezekana hata kubwaa huiwezii bado umeongezaa mzigo wa kujitakiaa,kilaa mla cha mwezie na chake huliwaaa...juaaa serengeti wanakusaidia nyumba kubwaa na ndogo piaa,wee utabaki ATM
Thats why i love you!Naamini hili rungu limemfikia,anataka kupanda mlima Kilimanjaro wakati yeye saizi yake ni Udzungwa,WANAUME wa shoka tupo,akitaka hata bao tano daily!
Hapana natumia ila ana maana hakojoi.
si herinyumba ndogo imetoa dukuduku je hiyo kubwa si imeamua kufa na kamba shingoni
Mama hata kabao kamoja tu anarizika.
Kwe,kwe,kwe kweee,kwiiii,kwi kwi,kwi,kwiiii.Khaaaaaaaaa!
Sioni msaada naona kusagiwa tu.