Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Aisee hebu nipe contacts zako PM fasta............Pole kaka ulionja asali kumbe hukujua **** kuchonga mzinga.... nakupa moyo huko peke yako...mpo wengi wa aina yako mimi huyu niliyenae alitamani kutoka na kila siku namfukuza lakini hataki kusikia anakuja ooggh Mama kubwa naomba tena kama ile ya juzi nilienjoy sana ooogh ugali na dagaa unaonopikia sijawahi kula toka nizaliwe... na pia hii scrub ya mdalasini hutakatisha ngozi yangu... namuuliza wewe si umeoa na kwa nini usimlete mkeo nimfundishe akufanyie....anadai hii yangu ndio kubwa zaidi.....
Nami nimpagawisha kila akija namuongeza dozi za uhakika....kaka endelea tuu kulipia kwani kule ulilipa mahari na huku walipia huduma unazopata...