Hii nyumba ndogo balaa...

Pole kaka ulionja asali kumbe hukujua **** kuchonga mzinga.... nakupa moyo huko peke yako...mpo wengi wa aina yako mimi huyu niliyenae alitamani kutoka na kila siku namfukuza lakini hataki kusikia anakuja ooggh Mama kubwa naomba tena kama ile ya juzi nilienjoy sana ooogh ugali na dagaa unaonopikia sijawahi kula toka nizaliwe... na pia hii scrub ya mdalasini hutakatisha ngozi yangu... namuuliza wewe si umeoa na kwa nini usimlete mkeo nimfundishe akufanyie....anadai hii yangu ndio kubwa zaidi.....

Nami nimpagawisha kila akija namuongeza dozi za uhakika....kaka endelea tuu kulipia kwani kule ulilipa mahari na huku walipia huduma unazopata...
Aisee hebu nipe contacts zako PM fasta............
 
Pole kaka ulionja asali kumbe hukujua **** kuchonga mzinga.... nakupa moyo huko peke yako...mpo wengi wa aina yako mimi huyu niliyenae alitamani kutoka na kila siku namfukuza lakini hataki kusikia anakuja ooggh Mama kubwa naomba tena kama ile ya juzi nilienjoy sana ooogh ugali na dagaa unaonopikia sijawahi kula toka nizaliwe... na pia hii scrub ya mdalasini hutakatisha ngozi yangu... namuuliza wewe si umeoa na kwa nini usimlete mkeo nimfundishe akufanyie....anadai hii yangu ndio kubwa zaidi.....

Nami nimpagawisha kila akija namuongeza dozi za uhakika....kaka endelea tuu kulipia kwani kule ulilipa mahari na huku walipia huduma unazopata...

Huo ni wizi kwani wewe hupati huduma? sasa kwa nini umlipishe mwenzio?
 
Pamoja na uzoefu wangu nakiri hii iliyonikamata sasa balaa. Inanimalizia hela zangu lakini kuchomoka nimeshindwa. Walahi nikifanikiwa kuchomoka hapa na ISC nahama...

Vipi mkuu kama unapata ile kitu roho inapenda si ndio maisha ? ........... hela ndo matumizi yake ...... au wewe ndio wale
wanaotunza hela badala ya hela kuwatunza wao ........:smile-big:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom