kwa hiyo kimbweka mwanza moja enhee kwa kina DC Masha..
Jambo jema la mabasi ya Dar Express kuanza kupiga route za Mwanza - Moshi limenipa faraja kubwa sana hasa kwa ndugu zetu waishio mikoa hiyo.
Usalama wa mabasi yao vipi? Si yale kila leo ajal?????i!!! au nachanganya mambo. Tunawakaribisha sisis wa Mwanza, lakini tunatanguliza usalama jamani.
Usalama wa mabasi yao vipi? Si yale kila leo ajal?????i!!! au nachanganya mambo. Tunawakaribisha sisis wa Mwanza, lakini tunatanguliza usalama jamani.