Hii niliikuta south africa

BIG X

JF-Expert Member
Nov 4, 2011
777
212
Niliingia duka moja kununua sandroz, bahati mbaya nilikuwa nimevaa viatu. katika harakati za kutaka kujaribisha nikavua viatu, nikazijaribisha zile sandroz nikiwa na soksi, nikawambia hizi ngozi yake ni ngumu sana itabidi mtu awe anazivaa na soksi. Pale dukani wakacheka sana wakasema utavaaje sandroz na soksi, wakasema "watu watakushangaa sana watajua unatoka Tanzania mana ndio wanaovaaga hivyo" mi niliposikia nilishangaa sana, sikuelewa kwanini walisema vile, Nilipowaambia mi natoka hukohuko wakasema basi kama ni hivyo hamna shida unaweza ukazivaa na soksi.

Sasa hii ilinipa mtihani kutaka kujua ilikuajekuaje mpaka ijulikane kwamba watanzania ndio wanaovaaga hivyo!!! lakini nilikuwa na muda mfupi sikuweza kufanikiwa.

Kama kuna mtu amekutana/anaelewa hili vizuri amwage hapa.
 
Niliingia duka moja kununua sandroz, bahati mbaya nilikuwa nimevaa viatu. katika harakati za kutaka kujaribisha nikavua viatu, nikazijaribisha zile sandroz nikiwa na soksi, nikawambia hizi ngozi yake ni ngumu sana itabidi mtu awe anazivaa na soksi. Pale dukani wakacheka sana wakasema utavaaje sandroz na soksi, wakasema "watu watakushangaa sana watajua unatoka Tanzania mana ndio wanaovaaga hivyo" mi niliposikia nilishangaa sana, sikuelewa kwanini walisema vile, Nilipowaambia mi natoka hukohuko wakasema basi kama ni hivyo hamna shida unaweza ukazivaa na soksi.

Sasa hii ilinipa mtihani kutaka kujua ilikuajekuaje mpaka ijulikane kwamba watanzania ndio wanaovaaga hivyo!!! lakini nilikuwa na muda mfupi sikuweza kufanikiwa.

Kama kuna mtu amekutana/anaelewa hili vizuri amwage hapa.

Hahahhh..... Nadhani wachaga ndio wanapenda kuvaa hivyo. Labda wamejaa sana huko.
 
Mimi sijawahi kuona hiyo kitu, labda Watz wanaoishi bondeni!
 
hahahhh..... Nadhani wachaga ndio wanapenda kuvaa hivyo. Labda wamejaa sana huko.
wachaga ni noma,kila pande ya dunia wapo,huwezi sikia mtu kutoka msoga au nanjilinje au kule kwa pinda,wachaga wapo shap sana,is type of person with non boundaris.mtabaki kuuza korosho pale chalinze.na umasai wangu alakini wachaga nouma
 
Niliingia duka moja kununua sandroz, bahati mbaya nilikuwa nimevaa viatu. katika harakati za kutaka kujaribisha nikavua viatu, nikazijaribisha zile sandroz nikiwa na soksi, nikawambia hizi ngozi yake ni ngumu sana itabidi mtu awe anazivaa na soksi. Pale dukani wakacheka sana wakasema utavaaje sandroz na soksi, wakasema "watu watakushangaa sana watajua unatoka Tanzania mana ndio wanaovaaga hivyo" mi niliposikia nilishangaa sana, sikuelewa kwanini walisema vile, Nilipowaambia mi natoka hukohuko wakasema basi kama ni hivyo hamna shida unaweza ukazivaa na soksi.

Sasa hii ilinipa mtihani kutaka kujua ilikuajekuaje mpaka ijulikane kwamba watanzania ndio wanaovaaga hivyo!!! lakini nilikuwa na muda mfupi sikuweza kufanikiwa.

Kama kuna mtu amekutana/anaelewa hili vizuri amwage hapa.
Naomba kujuzwa. Sandroz ni vazi gani? Au ndiyo sandals?
 
Naomba kujuzwa. Sandroz ni vazi gani? Au ndiyo sandals?

Sawa mtaalam wa English... si unajua wengine hatukusoma St. something, hongeleni mliosoma.... lakini hapo ilikuwa ni kiswahili. labda unikosoe tena na hicho kiswahili.
 
Hahahhh..... Nadhani wachaga ndio wanapenda kuvaa hivyo. Labda wamejaa sana huko.
Kama cape town wapo wengi sana...mitaa kama ya Long Street kuna baa wanazilimiki, Waterfront pia kuna wamachinga wa kichaga!
 
Kama cape town wapo wengi sana...mitaa kama ya Long Street kuna baa wanazilimiki, Waterfront pia kuna wamachinga wa kichaga!

Maeneo ya Mobray, Rondebosh, Cralemont na Waybag watakuwepo kibao na biashara za pipi na biscuti.
 
Kama cape town wapo wengi sana...mitaa kama ya Long Street kuna baa wanazilimiki, Waterfront pia kuna wamachinga wa kichaga!

kwa heshima yako badilisha sio wamachinga ni wafanyabiashara ..hiv nyie watu mtaacha lini roho za kuwasema wachaga vibaya au ndo mnawafagilia .lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom