FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Kashifa zipi Tall kwani mnakuwa mmegombana ama jamaa linajisikia tu kukashifu??
Ukiona hivyo jua haliko sawa
Ukiona hivyo jua haliko sawa
Nitafurahi ukiniita kiranja wa darasa. Hilo jina jingine ukiniita uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi unaweza kuwa kama wa Bush na Osama.Asprin.............kisha unapokea kiingilio mlangoni au? class monitor nafikiri class monitor anaitwa kiranja wa darasa kwa kiswahili cha kawaida, ila mie humwita SHAMBENGA! :tongue::lol:
yaani kamsema dada wa watu vibaya sana siwezi andika hapa.Kashifa zipi Tall kwani mnakuwa mmegombana ama jamaa linajisikia tu kukashifu??
Ukiona hivyo jua haliko sawa
yaani kamsema dada wa watu vibaya sana siwezi andika hapa.
kuna wanaosema kuwa huenda hata kupewa hakupewa......ni maneno ya mkosaji.huyu si mwanamme wa kawaida ....akili yake si njema sana ninanochoona hapa dada wa watu hata tatizo ila amekutana na crazy
Mwalimu Gaijin msaada hapa tafadhali......!:focus:Huyu si mwanamme wa kawaida ....akili yake si njema sana ninanochoona hapa dada wa watu hata tatizo ila amekutana na Crazy
Mwalimu Gaijin msaada hapa tafadhali......!:focus:
nadhani utakuwa unazungumzia wanaume wako na si wote...
Roseunatafuta balaa wewe mtoto. hahah LOL :hurt:afu mijitu mingine naturally ni mijitu ya nyodo/dharau km ambavyo baadhi ya makabila yetu tz ni wataalamu kwa majigambo ata ukikutana na mtoto mchanga wa kabila ilo analia n'gaaaaaaaaaaaaa n'gaaaaaaaaaaaa kwa kingereza akimalizia na ..infakt mami yangu ana maziwa mazuri na matamu kushinda yawamama wote apa clinic......sasa ukikutana na wakubwa zao ndo utakoma sasa ............dah i hatari :scared:
Lakini Tall wanaume ndivyo walivyo hata umfanyie vipi , mkikorofishana kidogo tu basi anaanza kashfa sasa sielewi zinawasaidia nini, maana utakumta mtu anamkashifu mkewe kwa sababu tu wamegombana halafu baada ya muda wanarudiana sasa sielewi huwa hawaoni aibu? maana anakuwa tayari ameshatangaza jinsi mkewe alivyo.
WANAUME KUWENI NA TABIA NZURI KAMA MMEACHANA NA MWANAMKE /MKEO USITANGAZE MABAYA YAKE, MAANA "MWISHO WA UBAYA AIBU".