Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Sio saw kabisa, kama kuna mawasiliano ya siri kuna lao jambo, just chunguza, kama vipi mtoto achukue na kumpiga maufuku mawasliano, ili kusiwe na kisingizio.
Mama naye ana haki ya kumjulia hali mwanae! Wawasiliane tu ila wawe open.