Runner
Member
- Feb 7, 2011
- 85
- 13
Mkeo umemuoa akiwa tayari ana mtoto,na ukakubali kumuhudumia mtoto kwa mahitaji yake yote,lakini inakuja kwamba bado anawasiliana mara kwa mara na mwanaume aliyezaa nae kwa namba nyingine tofauti,na ikitokea umesika anaongea anakwambia naongea na rafiki yangu,ukummbana sana anakwambia nilikuwa naongea na baba wa mtoto kuhusu mambo yahusuyo mtoto,je utafanyaje?Wana JF hebu nipeni maoni yenu