Elections 2010 Hii ni picha halisi ya matokeo ya uchaguzi wa 31 Okt 2010

Hayo sio matokeo uchwara wewe kichwa kumbuka wenye acces ya mtandao watu wao na marafiki wao na jirani zao wanawashawishi wampigie kura Dr Slaaa au Chadema kwa ujumla so sioni haja ya wewe kichwa kuchemka kama mtambo wa kupikia gongo aka changaa.Soma nyakati mie mwenyewe niko na watu kibao kura zao kwa CHADEMA kwa kuwa ndio wao tu wanaweza.
 
Kuongoza Tanzania 2010-2015 kura yako utampa nani?

Willibrod Slaa - CHADEMA (1544) 69.5%

Jakaya Mrisho Kikwete - CCM (568) 25.6%

Ibrahim Lipumba - CUF (95) 4.3%

Mutamwega Mugahywa - TLP (8) 0.4%

Hashim Rungwe - NCCR-Mageuzi (6) 0.3%


Number of Voters
: 2221
First Vote
: Tuesday, 12 October 2010 11:18
Last Vote
: Friday, 15 October 2010 09:59


Source: Kuongoza Tanzania 2010-2015 kura yako utampa nani?

watajinyonha mwaka huu.
 
Hata usipompigia atashinda tu kura yako sidhani kama inaweza kubadilisha kitu maana hata 1995 haikubalisha kitu.

Tofauti na 1995, Tanzania sasa imeiva kwa mabadiliko. Kaa tu unyamaze na utaona kishindo. People's Power. Dr Slaa atashinda kwa mbali kiasi kuwa hata Jaji Makame atashindwa kupindisha. Tumechoka. Tumechoka. Tumechoka na Tumechoka. Sasa tunasema basi na basi. CCM bye bye, Kikwete bye bye.
 
Wewe kichwa hayo sio matokeo uchwara,ni kweli watu wenye acces ya net ni wachache lkn kumbuka kwamba hao waliovote hapo wana ndugu,jamaa,watoto,jirani,wajukuu na hata wake zao ukumbuke kwamba hapo tayari washawashawishi hao niliowataja kumpigia kura za ndio Dr Slaaa au CHADEMA kwa ujumla mie mwenyewe niko na watu kibao watampa DR Willbrod Slaa(PhD) kura zote na hata mbunge wangu mie yuko juu kwa wananchi wa kijijini kwangu.Kwa hiyo kichwa ukae ujue Watanzania wa leo sio wa miaka hiyo ya 1995.Mie miake ile nilikuwa bado mdogo and now nitavote ushanisoma na kumbuka wale wazee wengi wapenda CCM au MAFISADI washakwenda mbele za haki sasa basi nakwambia hivi mwaka huu Wtanzania HATUDANGANYIKI CHADEMAAAAAAAA OYEEEEEE DR SLAAAAAAAAAAAAA Anaweza sana tu.
 
Kuchagua ni haki ya mtu hakuna sehemu inayosema nimchague nani sote tutapiga kelele ila siku ya mwisho ndio tutakayofanya maamuzi. Na mimi binafsi napenda mabadiliko ila kuna vitu vinanikera huku kwenye wanaopenda mabadiliko hakukubali ukweli! wao wanataka kudanganyana ili wapate thanks! mie sihitaji thanks za mtu na nina amini labda viti vya ubunge wapinzani na si chadema pekee kwani wao sio chama cha upinzani peke yao> Upinzani watapata viti vingi safari hii na hiyo itakuwa ni a step ahead sipendi nijidanganye kuwa eti upinzani utashinda viti vyote vya ubunge au asilimia 70 na urais watapata kuongoza nchi! Nakumbuka Zitto alisisitiza pale kibaha maili moja tuchague wabunge wengi wa upinzani ili tuwe na sauti bungeni. Wenye akili mgando walimbeza ila wenye akili timamu wanajua upinzani where they stand! Zitto anajua Slaa kushinda ni ndoto za mchana!
And what pray tell,Is so special about Kikwete that makes you so confident?
 
Hili ni tatizo watu kuwa na access ya internet wakati weledi zero. Mtoa maoni amesema picha halisi ya matokea unaanza kusema asiingie kwenye matatizo. Tuwe objective. Vipi REDET na SYNOVET? Ulisahau kuwaonya kuwa wataingia matatizoni?

Baelezeee bana!!!
 
Waliojiandikisha na tume ya taifa ya uchaguzi ni wangapi? na wangapi hawana access ya mtandao? usituletee matokea uchwara jua kuwa ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza matokeo. Na unachokifanya hapa ni kinyume na sheria. Angalia usije kuingia kwenye matatizo.

Sample ya REDET ilikuwa kama 2500 na hiyo poll hapo juu ni tayari 2222 na imechkua siku tatu tu na inaendelea. Kujua idadi ya watanzania wasiokuwa na access ya mtandao ni vigumu sana - kwani wengi uenda kwenye internet cafes, libraries, colleges and universities computer labs, offices, smartphoes; na ninaamini unafahamu internet inapatikana kwenye smartphone 3 & 4G technologies; kwa kifupi watanzania wengi sana kwa sasa wana-access ya internet kinyume na statistics zinazotegemea registration ya internet kwenye ISPs na umiliki wa komputa. Kinana alivyosema REDET wamekosea wao watapata asilimia 90, je alikuwa ametangaza matokeo? Tambwe Hizza alipohojiwa na DW kuhusu REDET yeye alisema CCM imekwisha shinda uchaguzi, je alikwisha tangaza matokeo? Walichofanya Kinana na Tambwe ni sawa na sheria? Je, kura zimekwisha pigwa? Kwani mwaka 1995 DTV walifanywa nini baada ya kutangaza matokeo kule Z'bar? Just a fine!

I am not chicken hearted as you are!!!
 
Simtishi mtu nampa ushauri kijana asijejiingiza kwenye matatizo maana mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo kisheriaq anajulikana na si mtu mwingine.

Je SYNOVET na REDET? wao ndio wana hakieeeeeeeeee
 
Waliojiandikisha na tume ya taifa ya uchaguzi ni wangapi? na wangapi hawana access ya mtandao? usituletee matokea uchwara jua kuwa ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza matokeo. Na unachokifanya hapa ni kinyume na sheria. Angalia usije kuingia kwenye matatizo.
Mwananchi ni chombo cha habari chenye heshima kubwa hapa nchini unapinga tuu kwa sababu sio majibu ya synovate au redet mwananchi linasambazwa karibu nchi nzima ambako mitandao imeenea mpaka vijijini wewe na upumbavu wako unataka kutuaminisha kwamba watanzania hawatumii mitandao juzijuzi hapa wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi walijiandikisha kuomba nafasi ya vyuo vikuu kupitia mitandao kutoka sehemu mbalimbali za nchi toa hoja sio kubisha tuu
CCM mwaka huu lazima wanq]olewe
 
kweli wewe sokomoko, kama umechukua jina toka jarida la Sani, arguments zako zinaendana na character of your own choice, usikute uko chicha sasa hivi, pole sana, watanzania wa 1995, sio wa sasa hata mkiiba kura, their voice shall be heard
 
Simtishi mtu nampa ushauri kijana asijejiingiza kwenye matatizo maana mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo kisheriaq anajulikana na si mtu mwingine.

Ushauri wako hauna msingi.... Pepooooooooooooooozi............................ mwaka huu tumeamua hatutaki tena kudanganywa tushakuwa watu wazima sie...
 
Hata usipompigia atashinda tu kura yako sidhani kama inaweza kubadilisha kitu maana hata 1995 haikubalisha kitu.
1995 CCM walichakachua kura za Mrema. CHADEMA si Mrema na janja yenu tumesajua. Tumewashika pabaya, pambaf.
 
Waliojiandikisha na tume ya taifa ya uchaguzi ni wangapi? na wangapi hawana access ya mtandao? usituletee matokea uchwara jua kuwa ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza matokeo. Na unachokifanya hapa ni kinyume na sheria. Angalia usije kuingia kwenye matatizo.

Matokeo ya utafiti ni mwelekeo wa mitazamo ya wawailohojiwa. Hao wanawakilisha lilel kundi kubwa. Unapoleta mshangao hapo mbona hukufanya hivyo kwa REDET na Synovate?
 
Waliojiandikisha na tume ya taifa ya uchaguzi ni wangapi? na wangapi hawana access ya mtandao? usituletee matokea uchwara jua kuwa ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza matokeo. Na unachokifanya hapa ni kinyume na sheria. Angalia usije kuingia kwenye matatizo.

we vipi bana?aaagh
 
Msipoteze muda na SOKOMOKO ufahamu wake ni mdogo hata hajui kuwa watanzania wanaomiliki simu kwa sasa ni zaidi ya milioni 20 na kuwa kila anyemiliki simu ana access ya internet, watabaki hivi hivi wakipigwa bao wakifikiri Tanzania ya leo ni ilee!
 
Waliojiandikisha na tume ya taifa ya uchaguzi ni wangapi? na wangapi hawana access ya mtandao? usituletee matokea uchwara jua kuwa ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza matokeo. Na unachokifanya hapa ni kinyume na sheria. Angalia usije kuingia kwenye matatizo.


ukuu wa wilaya hupati ng'oooh!!!!
 
yaelekea jk alikuwa akimtabiria dr. Slaa ushindi mnono pale alipojitabiria asilimia themanini za kura zote........
 
Back
Top Bottom