Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Simtishi mtu nampa ushauri kijana asijejiingiza kwenye matatizo maana mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo kisheriaq anajulikana na si mtu mwingine.
kwani hapo ametangaza matokeo au............mbona hukuwaambia hivyo REDET