Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wana jukwaa!!
Mimi nina mtoto ana umri wa mwezi mmoja na nusu. wiki tatu zilizopita alitokewa na layer fulani hivi mdomoni as if amekunywa maziwa yaliyoganda. Nilimpeleka kwa wataalamu wakampa dawa flani inaitwa NYSTATIN. Nimempa dawa hiyo laini naona bado hali hiyo inaendelea. Wapo walioniambia nimpe asali lakini nayo haijasaidia. Ninachoshukuru ni kuwa ananyonya vema, amechangamka na zaidi ya yote MIMI NA MAMA YAKE WOTE NI SALAMA na MTOTO NI SALAMA(We are out of HIV infection). NITATATUA VIPI HILI?
Mimi nina mtoto ana umri wa mwezi mmoja na nusu. wiki tatu zilizopita alitokewa na layer fulani hivi mdomoni as if amekunywa maziwa yaliyoganda. Nilimpeleka kwa wataalamu wakampa dawa flani inaitwa NYSTATIN. Nimempa dawa hiyo laini naona bado hali hiyo inaendelea. Wapo walioniambia nimpe asali lakini nayo haijasaidia. Ninachoshukuru ni kuwa ananyonya vema, amechangamka na zaidi ya yote MIMI NA MAMA YAKE WOTE NI SALAMA na MTOTO NI SALAMA(We are out of HIV infection). NITATATUA VIPI HILI?