Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,347
- 6,471
Ofisini kwetu kuna wafanyakazi wanawake ambao baadhi yao nimewakuta na wengine wamenikuta; na kati yao kuna wanaovutia na wasiovutia kabisa. Kati ya walioajaliwa nyuma yangu kuna mmoja ambaye alikuwa anivutii ila yeye alionekana kuvutiwa nami ilikuwa nikiongea naye kikazi 'ballistic missile' yangu inaanza kushika kasi ya kuinuka lakini hali hii ilikuwa haitokei kwa wengine. Situation hii imechukua muda kidogo kiasi kwamba nikaamua kuwa nam-avoid huyo mwanadada. Ila baadaye ikawa hali hiyo imekwisha kabisa. Sasa najiuliza hiyo ilikuwa ni natural au ndumba!!!