Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Mwenye kufaham naomba aniambie hii ni namba ya namna gani.
imekuwa ikipiga kwenye namba yangu ya tigo mara kwa mara na siku tatu hz naona ni kila siku jioni, leo imeita asubuh.
kinachonishangaza ni kwamba haikai kwenye call log kama namba nyingine, yan hutaiona kwenye missed calls wala received, siku ya kwanza kuita nilipokea lakini sikusikia chochote na nlipogundua kuwa haikai kwenye call log na sisikii chochote nikaamua kutoipokea ikabidi niiandike kwa karatas wakat inaita.
msaada wakuu kwa mwenye kujua maana nimeisearch google hainipi result yoyote.
imekuwa ikipiga kwenye namba yangu ya tigo mara kwa mara na siku tatu hz naona ni kila siku jioni, leo imeita asubuh.
kinachonishangaza ni kwamba haikai kwenye call log kama namba nyingine, yan hutaiona kwenye missed calls wala received, siku ya kwanza kuita nilipokea lakini sikusikia chochote na nlipogundua kuwa haikai kwenye call log na sisikii chochote nikaamua kutoipokea ikabidi niiandike kwa karatas wakat inaita.
msaada wakuu kwa mwenye kujua maana nimeisearch google hainipi result yoyote.