Kuna tetec kuwa sauti ni chuo cha kikristo, wanafunzi lazima wavae sket ndefu sana na magauni km masista na wavulana hawaruhusiwa kuvaa jeans? Na jumapili lazima kanisani. Geti hufungwa jion saa 12 na hamna ruhusa kwenda club. Je ni kweli? Na pia ukilala nje ya chuo unafukuzwa chuo sababu kuna rokoo usiku? Je hayo ni kweli kuhusu saut?