Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Njoo kwangu ukae kwangu,ila mimi sitatumia gari lako wewe ndio utatumia la kwangu,Driver wangu wa kunipelekea wanangu Shule nime mfire manake alikuwa anakuja ananuka pombe na kuna siku mwalimu alikomplain kuwa amekuta toti ya konyagi kwenye begi la mtoto, nilipo muuliza akasema aliitoa kwenye gari, aucle dereva huwa anaweka kwenye soda anakunywa hivyo nae akataka kuweka kwenye Juice yake ya Shule.
huna aibu kabisa,una asset yenye thamani zaidi ya millioni kadhaa,umerithishwa hilo gari najua,unajiona uko juu eenh?lala kwenye gari humo kama unafikiri vyeti aanhhh kuna nafasi ya ukurugenzi wa bank imetangazwa na utapewa gari vx na nyumba masaki ndo unachosubiri,subiri tu,