mangi waukweli
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 246
- 27
- Thread starter
- #101
Kaka ulishaambiwa, ukipenda kula vya wenzio na vyako huliwa! Wewe uko Dar umefikia kwa rafiki yako maana yake unatunzwa na rafiki yako, kuna ubaya gani yeye naye akatumia gari lako? Ukiishi na huyo dada ukafanya kazi ya kumpeleka kazini na kwenye mizunguko yake si ni sawa tu na kumuazima gari huyo rafiki yako? Au kilichokukera ni kulala sebuleni??!
Kwanini usipange chumba kukwepa fedheha hii??
to much of something is famful huyu rafikiyangu akitoka na gari asubuhi kurudi usiku wa manane tena na mzigo na akisharudi nahamia sebuleni it heal life ukilinganisha na mwanamke ,mwanamke unaweza kumanupulate akakuelewa ukimpeleka kazini na wewe unafanya mishe mishe nyingine