Umemuona mwanamke ukampenda mtu mzima ukaamua kumuapproach kwa gia ya urafiki,baada ya muda ukaamua kumwambia hisia zako za kweli then Anakureject(Anakutosa).Sasa naomba niwaulize kuna umuhimu wa kuendelea kuwa marafiki na huyo mtu?
Tafuta mwingine ila sasa usitafute 'mtu mzima', tafuta wa umri wako! Inawezekana huyo mtu mzima haapendi mahusiano na viserengeti!
vitoto siku hizi vina spidi.
Unaona kitoto saizi ya kijana wako kinakuamkia afu kinasema 'umependeza'
yaani nakikimbiza hadi kwao.
unakimbizana nacho sio?
Umemuona mwanamke ukampenda mtu mzima ukaamua kumuapproach kwa gia ya urafiki,baada ya muda ukaamua kumwambia hisia zako za kweli then Anakureject(Anakutosa).Sasa naomba niwaulize kuna umuhimu wa kuendelea kuwa marafiki na huyo mtu?
nlikuona leo wakati natoka job, ulikuwa umependeza sana na lile vazi la batikivitoto siku hizi vina spidi.
Unaona kitoto saizi ya kijana wako kinakuamkia afu kinasema 'umependeza'
yaani nakikimbiza hadi kwao.
nlikuona leo wakati natoka job, ulikuwa umependeza sana na lile vazi la batiki