Wanajukwaa hili la elimu awali ya yote napenda kuwajulia hali na naamini wote wazima wa afya na ongereni katika harakati za ujenzi wa taifa.
Lengo la huu uzi ni kutaka kujua sababu gani zimefanya vyuo vishiriki kama muhimbili na ardhi kujitenga na kuwa vyuo vikuu vinavyojitegemea kutokea chuo kikuu cha dsm,Na kutokana na hili vyuo hivyo vimekuwa vikianzisha baadhi ya taaluma ambazo hazifanani na hata majina ya hivyo vyuo,Kwa mfano chuo kikuu ardhi kimeanza kutoa BA in economics na sitashtuka kusikia muhimbili inatoa BSC in civil enginieering.Pia SUA(main campus) nao wamezidisha course nyingi ambazo haziendani na chuo tuwe wawazi kwenye hili maana kama ni mambo ya biashara MUCCOBS inatosha kusimamia hizo taaluma.Nawasilisha na hoja yako ndio inahitajika.
Lengo la huu uzi ni kutaka kujua sababu gani zimefanya vyuo vishiriki kama muhimbili na ardhi kujitenga na kuwa vyuo vikuu vinavyojitegemea kutokea chuo kikuu cha dsm,Na kutokana na hili vyuo hivyo vimekuwa vikianzisha baadhi ya taaluma ambazo hazifanani na hata majina ya hivyo vyuo,Kwa mfano chuo kikuu ardhi kimeanza kutoa BA in economics na sitashtuka kusikia muhimbili inatoa BSC in civil enginieering.Pia SUA(main campus) nao wamezidisha course nyingi ambazo haziendani na chuo tuwe wawazi kwenye hili maana kama ni mambo ya biashara MUCCOBS inatosha kusimamia hizo taaluma.Nawasilisha na hoja yako ndio inahitajika.