Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Mie nilidhani havai kufuli kama mie hoto:
a.k.a mturuchiaBonge la teitei!!
Mie nilidhani havai kufuli kama mie hoto:
weeeee maria roza mzima weye? umepoteaaaaa ka bikini ya queen elizabetiMie nilidhani havai kufuli kama mie hoto:
unakuja na maria roza?umekataa kutoa address...?
maria jibu hapaKipi cha ajabu hapo.. au wewe hauvaagi.
shanga
umepotea sana siku hizi wewe...........
weeeee maria roza mzima weye? umepoteaaaaa ka bikini ya queen elizabeti
maria jibu hapa
Majukumu dia acha tuu natamani kuwa mtoto tena :A S embarassed:
Hujambo MR!? Naona unakaribia kukamilisha lengo lako la kuchukua kitu kikali. Bado miezi miwili tu tufike mwisho wa mwaka, itakuwa Xmas gift ambayo utaifurahia sana kwa miaka mingi ijayo.