Siku hii ya leo tangu hasubuhi umeme umekua ukikatika kila baada ya lisaa na kurudi baada ya kila nusu saa, hivi vitu vikiungua nani anawajibika? watu wameridhika kabisa na hali hii nadhani wanataka kuona kawaida kama shida ya maji ilivyo hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.